kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Rais 2015 hatoki kaskazini...this is according to Ridhwani and UVCCM Coast Region...kwani Asha Migiro amebadili kabila lake? kwa sasa si mpare wa kili (kaskazini)???!!
Nafikiri watakuwa wametunga sheria mpya ya kubadilisha kabila,Mpare anaweza kuwa mtu wa Msoga.