Clouds FM kuweni makini

kibonde nimbea hadi anapitiliza na hao madada zake mwanaume mzima haoni aibu hadi kipindi kimepoteza u maana wake hawana maadili ya habari arudi akatangaze ngumi au kitchen part
 
Mashankupee ..sory! Masharubalo, unatarajia nani akakusanye report kati B12..,Mchonvu ama nani?Kibonde? thy blv in rumours and thy spread it likewise...
 
May be alikuwa anamaanisha " the peoples station"...radio ya watu..Kwa ufupi sio clouds peke yenye mapungufu kwenye kutoa taarifa radio nyingi tu za bongo ila tatizo la Clouds inasikilizwa na wengi kasoro hizo ndogo ambazo zinarekebisha ishu kubwa ilikuwa ni taarifa ya ajali iliyotokea huenda mtoa habari wa mwanzo Muimbaji wa taarab mwanahawa Ali huenda alikuwa ameweweseka nakusema vingine

Bahati mbaya nilikuwa mbali na mtandao. Umenijibia vizuri. Redio ya Umma sikuwa na maana ya kuwa ni redio ya serikali. Umma nina maana public (au kama ulivyosema peoples station) na siyo Government.
 
Japokuwa najua ni redio ya kidaku zaidi, ila ni vyema Clouds FM kuwa makini wanapotoa habari zenye umuhimu na maslahi ya Taifa.

Najua kuna mambo mengi tu wanayamislead, ila hapa nitatolea mfano mambo mawili waliyotokea hivi karibuni,

1. Wakati wa mabomu ya Gongo la Mboto, Clouds fm wakatangazia umma ya kuwa Mabomu yanalipuka katika kambi ya Mkuranga.

2. Ilipotokea ajali ya 5 Star maeneo ya Morogoro, clouds fm wakangazia umma kuwa ajali imetokea maeneo ya Kibaha.

My concern ni kuwa kama hawana uhakika wa tukio si waseme watalitolea maelezo ya kina watakapopata uthibitisho wa habari. Huu ni ukiukwaji wa taratibu na taaluma ya uandishi wa habari.


:smow::smow::smow::smow::smow:

Haya ni matokeo ya kuajiri watu ambao ni makanjanja kwenye taaluma ya wanahabari. Kimsingi vigezo muhimu havizingatiwi ili kumpata mtangazaji mwenye uwezo wa kutoa na kutangaza habari, kikubwa kwao ni uwezo wa mtu kubwabwaja maneno au kutumia machine za utangazaji. sio redio zinazoaminika hata kidogo maana watangazaji wake wengi ni ganga njaa, hawana uwezo wa kitaaluma na kama wamesomea kidogo basi ni wale wanaoingia kwenye taaluma hiyo ili kuuza sauti na sura si vinginevyo.
 
SIKUDHANI KAMA KUNAMTU MWENYEAKILI ANAENDELEA KUSIKILIZA CLOUDS,
HASA KIPINDI CHA MJINGA kibonde
 
Clouds FM mnaboa sana hasa mnapoleta habari za majumbani mwenu ktk habari muim utani na kejeri vimezidi sana hamko serious kabasa na jahazi ndo hakuna kitu mnaboa sana....kuweni makini wajameni na mpunguze sifa za kijinga lo!!!
 
Back
Top Bottom