vyanzo vyangu vya ndani vinanidokeza kuwa reception ya kampeni yao imekuwa kinyume kabisa na walivyotarajia. Guess wanawalaumu kina nani..?
Kwa hiyo siku hizo kuto misaada ni kulazimishana....ukishamlazimisha mtu mi naona si msaada tena huo...!!Watangazaji B12 na DJ Fatty wameeleza kwamba mwanamuziki yoyote atakaye taka nyimbo yake ichezwe redioni atatakiwa kutuma meseji 10 ili kuchangia waanga wa mafuriko ya Kilosa.
Isije kuwa baada ya kuona mwitikio wa watu umekuwa ndivyo sivyo,inabidi watumie nguvu za ziada lol!Clouds FM wamejiunga na Red Alert na mkurugenzi wao Joseph Kusaga yuko studio anawapigia simu watu maarufu ili wachange na tayari ameshachangisha zaidi ya 5m. Wanachangisha pia kwa njia ya sms.
Clouds me naona wamefanikiwa sana kwenye hii fund raising yao na wanastahili kuungwa mkono. Unajua kuna watu wanachukua mrengo fulani hata kama mtu akifanya jema hawamkubali.
Baniani mbaya.....
Jamaa wamekuja na idea nzuri,lengo la kusaga lilikuwa achangishe 5m lakini mpaka anatoka studio kawapigia watu wa TCC, Teddy wa serengeti, Kimei wa CRDB, Isaac wa Easy Finance na kampuni yake mwenyewe ya Prime Times ambapo amechangisha jumla ya shilingi 7m.
Watanzania endeleeni kuwachangia hawa watu wenye matatizo kule kilosa.
Charity begins at home........
La kushangaza ni kwa nini wameamua ku-team up na VODACOM badala ya kujisimamia wao wenyewe kama wanavyofanya kwenye fiesta zao.
Ndugu yangu,Duh...ama kweli Tanzania...hata ukiwa unalinda maslahi yako au unarudisha fadhila kwa wanaokupa kula bado unapewa sifa.
Clouds me naona wamefanikiwa sana kwenye hii fund raising yao na wanastahili kuungwa mkono. Unajua kuna watu wanachukua mrengo fulani hata kama mtu akifanya jema hawamkubali.
Baniani mbaya.....
Jamaa wamekuja na idea nzuri,lengo la kusaga lilikuwa achangishe 5m lakini mpaka anatoka studio kawapigia watu wa TCC, Teddy wa serengeti, Kimei wa CRDB, Isaac wa Easy Finance na kampuni yake mwenyewe ya Prime Times ambapo amechangisha jumla ya shilingi 7m.
Watanzania endeleeni kuwachangia hawa watu wenye matatizo kule kilosa.
Charity begins at home........
La kushangaza ni kwa nini wameamua ku-team up na VODACOM badala ya kujisimamia wao wenyewe kama wanavyofanya kwenye fiesta zao.
Mafuru/Kusaga connection? Ngoja wakusanye michango hii. Uzuri mmoja ni kwamba wanachangisha toka kwa wenye nazo.Nikupe HINT...dodosa bajeti ya Vodacom inayokwenda Clouds FM kwa ajili ya Marketing.
Lakini mimi na wewe ni bora tukubali...bora wahanga wapate misaada au sio?
Thanks God,hii ni habari njema kwangu! Acha sisi tuendelee na kampeni yetu.Haya mambo ya kucopy na kupaste aidea za wengine na kujifanya ni initiative zao (VODACOM) na zitawatokea puani.Watu wamewashitukia.
Hapo mkuu ndiyo kwenye point isije kuwa hawa Voda wameona wamefulia hiyo RED ALERT wakaona wawaingize clouds through hii idea mpya.
Idea siyo mbaya lakini ilitakiwa clouds wawe wenyewe plus jamaa wa RED CROSS. Maana hawa Red cross ndiyo watoa misaada hasa na wanafika mpaka kusikofikika kiraisi.
Lakini nawapa pongezi hawa clouds maana jamaa wako creative lakini inabidi creativity yao waitumie vizuri kwani kuna watu wanaweza kuitumia kama mtaji wao. BIG UP CLOUDS LAKINI MUWE MAKINI...