Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,670
- 13,236
Napenda kutoa malalamiko yangu kupitia tovuti hii makini naamini kuna wana Clouds watanifikishia ujumbe huu.
Kuna ujumbe wanatuma kupitia simu ya kiganjani ambayo huwa imetoka Clouds kwanza +15556.
Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikitumiwa hizi meseji bila kujua, baadae nikabaini kuwa kila nikitumiwa meseji moja nakatwa Tsh.350.
Kinacho niudhi ni meseji zenyewe za kijinga tu.
Kuna ujumbe wanatuma kupitia simu ya kiganjani ambayo huwa imetoka Clouds kwanza +15556.
Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikitumiwa hizi meseji bila kujua, baadae nikabaini kuwa kila nikitumiwa meseji moja nakatwa Tsh.350.
Kinacho niudhi ni meseji zenyewe za kijinga tu.
Last edited: