Rama dee na adili kwenye facebook wameandika kuwa kusaga na kinje wamekaa kikao na kujadili jinsi ya kupunguza makali vinega na vinega wamerekodi mazungumzo yao acheni hayo mambo mjue sasa ishu si ya vinega hii movement ipo kwa raia sasa na dunia yote inajua hamuwezi kuzuia mvua mmenyonya sana wasanii vinega sio kama misukule.sasa watapambana na UMA. hawa clouds sijui wanapata nguvu wapi
Soggy doggy alitekwa juzi na kutishiwa maisha yake na pia gari yake kuharibiwa sijui nani anafanya haya mambo
Soggy doggy alitekwa juzi na kutishiwa maisha yake na pia gari yake kuharibiwa sijui nani anafanya haya mambo