MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Jamani naomba akina Kibonde mtupatie majibu mbona Cloud TV inaonyesha cheche tupu tangu jana au mabomu ya Gongo la mboto yaliwalipukia?
Tangu jana cloud TV imekuwa haionyeshi kitu chochote zaidi ya screen ya kijivu inayopitisha vitu kama cheche.
Wakuu tunaomba mtujuze au ndo majaribio yameshindikana
Tangu jana cloud TV imekuwa haionyeshi kitu chochote zaidi ya screen ya kijivu inayopitisha vitu kama cheche.
Wakuu tunaomba mtujuze au ndo majaribio yameshindikana