Kertel
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 5,268
- 4,973
Hakuna form 6 anayesoma AMO,intake ya amo ni kwa clinical officers tu
Assistant Medical Officer...ni Advanced Diploma ya Medicine...wanaendaga form 6 amabo matokeo hayaruhusu kwenda medical school moja kwa moja au Clinical Officers baada ya Utumishi wa miaka kadhaa.....kwani wewe level gani?