Sidhani kama Clinical officer anaweza kwenda Medical School moja kwa moja ila AMO ndio wanaingiaga medical School na wanaanza mwanzo kabisa(mwaka wa kwanza).....Clinical officer bado chini sana mkuu...hata form 4 failures wanaenda...piga kwanza AMO then uangalie michongo ama fanya PCB private class then fanya mtihani(hii ngumu kumesa)...Walishaongele juu ya AMO kupunguziwa miaka waendapo medical school ila bado haijapita...Good luck
AMO ndo kitu gani hiyo mkuu...
Sidhani kama Clinical officer anaweza kwenda Medical School moja kwa moja ila AMO ndio wanaingiaga medical School na wanaanza mwanzo kabisa(mwaka wa kwanza).....Clinical officer bado chini sana mkuu...hata form 4 failures wanaenda...piga kwanza AMO then uangalie michongo ama fanya PCB private class then fanya mtihani(hii ngumu kumesa)...Walishaongele juu ya AMO kupunguziwa miaka waendapo medical school ila bado haijapita...Good luck
kaka umedanganya.clinical officer ni ngazi ya diploma na nilazima uwe umemaliza kidato cha sita na kuanzia mwaka huu wamekaza masharti lazima uwe na principle zote 3 za pcb ili uweze kusoma na ukimaliza unaweza kwenda degree chuo chochote
vyuo vya serikali ni viwili tu na havipokei clinical officer.IMTU ni private unajilipia mwenyewe,havyo vya Serikali bei ni poa sana!
vyuo vya serikali ni viwili tu na havipokei clinical officer.
kaka umedanganya.clinical officer ni ngazi ya diploma na nilazima uwe umemaliza kidato cha sita na kuanzia mwaka huu wamekaza masharti lazima uwe na principle zote 3 za pcb ili uweze kusoma na ukimaliza unaweza kwenda degree chuo chochote
vinapokea watu gani?
Yes ukitoka na diplo ya clinical officer unaingia muhimbil kupiga medicn au dental thelapy
uongo uliotukukaSidhani kama Clinical officer anaweza kwenda Medical School moja kwa moja ila AMO ndio wanaingiaga medical School na wanaanza mwanzo kabisa(mwaka wa kwanza).....Clinical officer bado chini sana mkuu...hata form 4 failures wanaenda...piga kwanza AMO then uangalie michongo ama fanya PCB private class then fanya mtihani(hii ngumu kumesa)...Walishaongele juu ya AMO kupunguziwa miaka waendapo medical school ila bado haijapita...Good luck
Uongo ndani ya jukwaa haufaivyuo vya serikali ni viwili tu na havipokei clinical officer.
Vinapokea AMO = Assistant Medical Officers ,hawa wana advanced Diploma ya Udaktari na sio Clinical officer labda uende IMTU kama alivyosema jamaa hapo juu
Sidhani kama Clinical officer anaweza kwenda Medical School moja kwa moja ila AMO ndio wanaingiaga medical School na wanaanza mwanzo kabisa(mwaka wa kwanza).....Clinical officer bado chini sana mkuu...hata form 4 failures wanaenda...piga kwanza AMO then uangalie michongo ama fanya PCB private class then fanya mtihani(hii ngumu kumesa)...Walishaongele juu ya AMO kupunguziwa miaka waendapo medical school ila bado haijapita...Good luck