Godwine,mwacheni jk arejeshe fedha zake alizotumi kwenye kampeni kwani mkimuondoa mnaweza kumlipa?
Ajilipe ili bei ya bidhaa na huduma zipande ili uweze kukopa benki na kuinvest katika ujenzi?
Halafu upate unafuu katika kulipa mkopo wako?
Sasa ninafahamu kidogo kwa nini unashangaa watu wanaopinga ongezeko la bei za vitu..
https://www.jamiiforums.com/habari-...ini-watanzania-wanapinga-kupanda-kwa-bei.html