engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Haya tena jamani hatimae jipu limepasuka,baada ya Mzee wa ukweli na uwazi kupigwa chini sasa Clementi Mshana aula Ukurugenzi TBC
SOURSE CLOUDS FM JAHAZI
SOURSE CLOUDS FM JAHAZI
kwa jinsi ninavyo mfahamu tangu enzi hizo ni wale wale vibaraka walioletwa kuiuwa TBC ,Baada ya Mzee Mhando kuiweka ktkmazingira ya kujitegemeahuyu ana sifa gani? tumechoka kuangalia kioo cha buluu, tunataka TV ya kweli, sio ngoma za kikabila kutwa, angepewa msomi mzuri...