Kwa tahadhari tu:
Real madrid asitegemee kushinda kwa urahisi dhidi ya APOEL kwani ni timu ngumu sana na wanacheza mpira wa kisasa kama ule wa Barca.
Pia kwa hawa Milan vs Barca hapo haina shida sana naona milani anaweza kupita coz wanawajua indeed Barca. Then nafikikiri final itakuwa
CHELSEA vs REAL MADRID.
kwan ac milan wana nini special. Walipigwa tatu kwa yai na watoto. Kuna mtu alitegemea man u kufurushwa katika hatua ya makundi ya cl?Umeanza kwa point kisha umemalizia kwa utumbo...
Hivi kabisa umepiga mahesabu eti chelsea watawafunga Milan ktk nusu fainali?
Hivi unawajuwa Milan au unawachanganya na Inter?
Hebu futa haraka huo utumbo ulouandika.
Red Devils walishatolewa, sina hamu na Champions League tena.
Kwa tahadhari tu:
Real madrid asitegemee kushinda kwa urahisi dhidi ya APOEL kwani ni timu ngumu sana na wanacheza mpira wa kisasa kama ule wa Barca.
Pia kwa hawa Milan vs Barca hapo haina shida sana naona milani anaweza kupita coz wanawajua indeed Barca. Then nafikikiri final itakuwa
CHELSEA vs REAL MADRID.
kwan ac milan wana nini special. Walipigwa tatu kwa yai na watoto. Kuna mtu alitegemea man u kufurushwa katika hatua ya makundi ya cl?
yah,mi nltgemea kwa sababu zifuatazo.man u awajui mpira ila wanabebwa na marefa(refer mech ngum zote wanazo karbia kushndwa uwa wanapewa penalt)na ndo maana hata europa wmegongwa hme n away.
Wanatuonea sana Uefa, kwenye makundi walitupa Barcelona na leo tena!
kwan ac milan wana nini special. Walipigwa tatu kwa yai na watoto. Kuna mtu alitegemea man u kufurushwa katika hatua ya makundi ya cl?
Marselle vs bayern munich
APOL vs real madrid
benfica vs chelsea
ac milan vs barcelona
semi final
marsell or munich vs apol or madrid
benifica or chelsea vs milan or barca
final
madrid vs barca?
Mmmmh!Madrid wataanzia ugenini aprili 17. Uwezekano wa bayern kushinda ni mdogo sana. Wanaweza kutoa draw au ushindi mwembamba. Mechi ya marudiano bayern atanyeshewa mvua ya magoli. Barcelona nao wataanzia ugenini aprili 18. Matokeo yoyote stanford bridge hayataizuia barca kusoma mbele kwa kutumia mechi ya marudiano. The possibility madrid and barca will make final is high so is madrid to be crowned champions