PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,720
- Thread starter
- #21
Mazee huna nyumba ndogo? wanaume wengine bwana nyie ndio mnaosababisha wanawake watumie nyuchi zao kama silaha! Akisema week wewe mwambie lets make it two weeks ili mtoto apone vizuri!
Du..!!
Mzee hizo comments zako ni extremes!
Ni kweli kama nilivyosema mwanzo, siku ya kwanza
nilitaka kurudi kwa Cheusi, yule aliyekuwa 2nd selection
katika uchaguzi wa kuoa,
lakini with time nimeamua kuachana nae baada ya
kukumbuka kiapo cha ndoa...shida na raha!