Vangiporini
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 310
- 217
Jaman wale wadau wa ku2mia maprox ye2 yale vp hi prox ya circle of brain washa iblock nini? Mana saiv kwang haipigi mzgo wala nini na ilikuw pouwa sana
:/ hata bado sijayajua haya mambo.
Weka proxy na port zake kamandaCircle....!!!! mbona hiyo proxy ni chai sana mtu mzima...! Tafuta proxy nyingine mkuu lakini sio hiyo mkuu. Tumia US WEB PROXY kama unataka kudownload au KPROXY kama unataka kusurf na Resume Downloads ambazo hazizidi 50mb
kproxy 87.106.140.33 : 80us web 173.231.49.146 : 80weka proxy na port zake kamanda
nadhani circle of brains wameiblock coz hata mimi siipati, kuhusu best proxy kwa sasa nadhani, beta version 85.31.186.21 port 80 ndo yenyewe, haina download limit, youtube kama kawa, iko spidi sana ukicompare na us web proxy na kmproxy zina limitation nyingi
yep get that proxy man but how can connect on ma pc natumia fire fox 10
Vipi sasa,nimeweka Ile prox lakini nikijaribu kufungua inagoma?
>>kwny 4n co prox zote zinazokubali,ila US WEB PROX inakubali hata kwny 4nyap ngoja nichek but kwenye phone hzo proxy zote zinazingua!