Inashangaz kuona ma atheist wameishiwa kwenye deen yao na sasa wanajadili mambo theist. Kaazi kweli kweli.
Anyway Wakuu, tubakie kwenye mada ya Algeria
Atheist hatuna deen!!!
Post yangu ya kwanza ni hii
Kungekua hakuna hizi dini za uongo [Mussa/Moses/Moshee], miungu ya uongo, Uislam, Ukristo haya yote yasingetokea.
ukipost upumbavu wako soma kwanza wenzio waliyoandika