snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,637
we mwana we!Mashine za kukausha nguo zina kazi gani?
we mwana we!Mashine za kukausha nguo zina kazi gani?
Uswazi kuna mashine za kukausha nguo?
Nawe pia ni wa PAMPERS eeh...Mie sianikicoz natumia disposable
Mkuu isije kuwa unavaa pampers...tehe tehe teheee
hapo wanakuwa wanakubaashia!kha hili neno sijalisikia siku nyingi hivi lipo!?kiswahili kimebadilika kweliMie mwenzenu nina ugonjwa wa ENZIMA, sasa jinsi nilivojaaliwa hizi kufuli kwanza zaninyima raha!, Pili ndo huo ugonjwa nawashwa kweli kwenye kona za kufuli na kuchubuka! Hivo DR. wa ngozi Muhimbili amenipa go ahead nisiwenavaaa! Na ikibidi nivae G-STRINGS nikienda sehemu za maana Hizo G-Sring nilikuwa naanikaga njeeee kweupe tena kwa kuninginiza na vibanio viwili! Na hapa napoishi wote mabachelor! afu peke yangu ndo mdada, ikaanza tabia sikuipenda! Nikianika G-String zangu nakuta wamebebanisha MIBOXER yao juu wkt kamba iliobaki nyeupeee. Mijitu mingine bwana!!!!!!!
You meant ECZEMA??Mie mwenzenu nina ugonjwa wa ENZIMA, sasa jinsi nilivojaaliwa hizi kufuli kwanza zaninyima raha!, Pili ndo huo ugonjwa nawashwa kweli kwenye kona za kufuli na kuchubuka! Hivo DR. wa ngozi Muhimbili amenipa go ahead nisiwenavaaa! Na ikibidi nivae G-STRINGS nikienda sehemu za maana Hizo G-Sring nilikuwa naanikaga njeeee kweupe tena kwa kuninginiza na vibanio viwili! Na hapa napoishi wote mabachelor! afu peke yangu ndo mdada, ikaanza tabia sikuipenda! Nikianika G-String zangu nakuta wamebebanisha MIBOXER yao juu wkt kamba iliobaki nyeupeee. Mijitu mingine bwana!!!!!!!
Sehemu bora ni nje juani ili ikauke vizuri......!
Upige na pasi.......!!
You meant ECZEMA??
mnaanikaje chupi nje jamani...chupi,soksi pamoja na taulo vinaanikwa bafuni tena unafunga taa maalum kwa ajili ya kukausha na kuua bacteria
wewe unafikir kila mtu ana bafu lake rafiki yangu?wengine tunashare mabafu na vyoo hivo oh!
I was just making sure that nilichoelewa ndicho ulichomaanisha, thats all, sorry kama nimekukwaza!!DR. na wewe na wewe embu nitue mie! Mwenyewe unajua fika kuwa hilo neno la kigiriki sijui kilatini? Sasa mi ntawezaje kuitamka acha kuspell correctly! Dalili zake ni vipele vidovidogo kwenye ngozi hasa sehemu zenye miunganiko kama mapajani! na vinawasha sana. U got my point. Wapiiiiii MUSCA DOMESTICA!, PERIPLANETA AMERICANA!, LOXODANTA AFRICANUS, ZEA MAISE, japo biology nilidoji sana!
hapo wanakuwa wanakubaashia!kha hili neno sijalisikia siku nyingi hivi lipo!?kiswahili kimebadilika kweli
Chupi ndiyo nini?
una fungus kilo ngapi aisee? Manake chupi, soksi na taulo ni mitambo ya kuzalisha fungus! Na kila siku unapaswa kutumia taulo safi, sidhani kama unaweza. Hiyo ya taa za maabara za kuulia bacteria is too theoritical
I was just making sure that nilichoelewa ndicho ulichomaanisha, thats all, sorry kama nimekukwaza!!