Fungua Uzi tukushauri mkuuNimecheka sana hapa.maana mpangaj mwenzangu ni bachela nae akifua kuful zake huzianika nje,mvua ikinyesha na acpokuwepo huwa napata wakat mgumu sana!NIMUANULIE?au niziache?
Mkuu,kama ni mimi,naichukua hiyo chupi naipiga pasi kabisa halafu naiweka kabatini kwetu,na huyo mke aende zake,akitaka kurudi arudi tu na hiyo chupi ataikuta ndani.hajiamini kuwa yuko peke yake hilo ndio tatizo.Nalog off
kuna sababu unamuonesha mpka asijiamini.Kwa nini hakuamini kiasi hicho?
Mkuu ile chu pi alianguka katika yale maji yaliyokuwa yakitiririka nilipokuwa nikioga,NIKAONA, sio ustaarabu kuiacha katika maji yale.Nalog off
Mkuu ile chu pi alianguka katika yale maji yaliyokuwa yakitiririka nilipokuwa nikioga,nikaona sio ustaarabu kuiacha katika maji yale.Nalog off
Mie niliisuuza baada ya kuidondosha kwa bahati mbaya..Loo, unasema uliona si ustaarabu? Ni ustaarabu gani huo kufua chupi za watu usiohusiana nao? Jambo hili Angefanya huyo mkeo kwa utetezi kama huo ungejisikiaje?
Hii mada isingeingia JF.
Mimi ndiye niliyeidondosha Sasa Ni wajibu wangu kuisuuza.Lo! Mkuu unaanzaje kusuuza C.H.U.P.I ya mtu usiemjua.. Khaaa
Niliamua kuonesha ustaarabu wanguMkuu ulijiweka matatizoni wewe mwenyewe. Kuokota chupi ya mwanamke ambaye huna uhusiano naye na kuisuuza, tena kwa maji ambayo utaendelea kuyaoga? Hiyo nadhani ni ngumu sana kueleweka.
Sio yangu Ni ya mpangaji mwenzangu yangu mie Bado sijaifua.Cjauelewa Uzi... Kwn we yako uliningniza wapi..??
Alirudi mwenyewe,chezea Mjini wewe.mkuu vp alirudi?
Istaarabu ndio ulionifanya nifanye yote hayo.Wewe unasuuza nguo ya ndani ya mtu usiyemjua, hovyo kabisa.