Chupa mpya, mvinyo ule ule...(?)

I normally don't argue, ila the way ninavyo cross examine na ku probe watu nimegundua hawapendi. Ukinisimulia kitu inakuwa ngumu kutikisa kichwa bila kutaka kujua material facts.

Mfano kuna dada alikuwa anasimulia darasani kuwa yeye ana mapenzi ya hali ya juu na kazi yake (ni program coordinator wa NGO moja huko Guantemala). Wakati wenzie tunatafakari ni jinsi gani wafanyakazi wa NGOs wanaweza ku get poor people involved into their projects kwa kuwa in most cases they are not interested to, yeye akaja na story jinsi anavyofanya kazi hata kama watu watano tu wata turn up into her project ili mradi anajua with time wengine watavutiwa. Watu wakawa wanamsikiliza kwa umakini mkubwa. Mimi nikajikuta nachombeza kabla hajamaliza kusimulia "but you get your salary". Wacha akasirike, japo alijibu wakati mwingine silipwi huwa na volunteer lakini nilimuona kawa mdogo nikajisikia vibaya sana.

ha ha ha, wewe hizo negatives zako ni balaa!
Basi bana, usije nikwaza na mie hapa. LOL!

Namhurumia sana Mumeo, mheshimu sana huyo baba...anavumilia sana maskini....ha ha hhhaa!
 
Mbu thanks kwa thread hii, very educative!

Asante Lizzy kwa post zako, zimenisaidia sana kutambua au kukubali one of my huge weakness "ubishi"! Tangu nakuwa naambiwa mi mbishi, lkn sikubali u know why? Huwa naona watu hawataki kunielewa tu!
Lkn baada ya kutoa character za mbishi; kuwa huwa anakatisha maongezi/maelezo ya mwingine midsentence ili aargue, yaani ni kama umeshakutana na mimi vile! Thanks!

So that ma weakness, imeniathiri sana ktk relationship! How?
1: Ninawafanya some men wajione hawafai!
2: Mwanaume ambaye ninamshinda argues zote; namuona hafai not man enough
3: I end up with more mature n more educated somewhat macho men, ambao after sometime nawaona nao hawafai!

Other weakness of mine ni principality! Najaribu kuwa flexible but nikiona how others r suffering kwa kujitoa na kusahau ndoto zao na puporse za life naona l am better of being who l am!

Ila la ubishi nitapunguza coz naona kuna watu wameanza kunikimbia hasa kwenye group work (workshops)
 
One and Only //huyu Mbu anataka kuleta balaa hapa..anatufanya watu wazima tu'jifunue' hadi ndani ah. ama kweli

Haaa Mbu ana balaa but MJ1 mamy hapa ndio mahali watu wazima wanapoweza kujifunua na kuona ya wenzao, wakajifunza mazuri mabaya wakayarekesha, ni very challenging kwa mtu kujua +ve zake na -ve zake na kujifanyia tathmini. Huoni mamy kuwa umepata nafasi ya kugundua ya undani mwako zaidi, haaa haaa safi
 
Mbu thanks kwa thread hii, very educative!

Asante Lizzy kwa post zako, zimenisaidia sana kutambua au kukubali one of my huge weakness "ubishi"! Tangu nakuwa naambiwa mi mbishi, lkn sikubali u know why? Huwa naona watu hawataki kunielewa tu!
Lkn baada ya kutoa character za mbishi; kuwa huwa anakatisha maongezi/maelezo ya mwingine midsentence ili aargue, yaani ni kama umeshakutana na mimi vile! Thanks!

So that ma weakness, imeniathiri sana ktk relationship! How?
1: Ninawafanya some men wajione hawafai!
2: Mwanaume ambaye ninamshinda argues zote; namuona hafai not man enough
3: I end up with more mature n more educated somewhat macho men, ambao after sometime nawaona nao hawafai!

Other weakness of mine ni principality! Najaribu kuwa flexible but nikiona how others r suffering kwa kujitoa na kusahau ndoto zao na puporse za life naona l am better of being who l am!

Ila la ubishi nitapunguza coz naona kuna watu wameanza kunikimbia hasa kwenye group work (workshops)
kitendo cha wewe kugundua weakness yako its a very big step katika maisha yako na kupunguza au kuondoa kabisa hilo tatizo la ubishi, jitahidi kupunguza kwasababu huwa inawafanya watu wengine kuogopa kutoa mawazo yao mbele yako
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mbu thanks kwa thread hii, very educative!

Asante Lizzy kwa post zako, zimenisaidia sana kutambua au kukubali one of my huge weakness "ubishi"! Tangu nakuwa naambiwa mi mbishi, lkn sikubali u know why? Huwa naona watu hawataki kunielewa tu!
Lkn baada ya kutoa character za mbishi; kuwa huwa anakatisha maongezi/maelezo ya mwingine midsentence ili aargue, yaani ni kama umeshakutana na mimi vile! Thanks!

So that ma weakness, imeniathiri sana ktk relationship! How?
1: Ninawafanya some men wajione hawafai!
2: Mwanaume ambaye ninamshinda argues zote; namuona hafai not man enough
3: I end up with more mature n more educated somewhat macho men, ambao after sometime nawaona nao hawafai!

Other weakness of mine ni principality! Najaribu kuwa flexible but nikiona how others r suffering kwa kujitoa na kusahau ndoto zao na puporse za life naona l am better of being who l am!

Ila la ubishi nitapunguza coz naona kuna watu wameanza kunikimbia hasa kwenye group work (workshops)

Haaa Mbu ana balaa but MJ1 mamy hapa ndio mahali watu wazima wanapoweza kujifunua na kuona ya wenzao, wakajifunza mazuri mabaya wakayarekesha, ni very challenging kwa mtu kujua +ve zake na -ve zake na kujifanyia tathmini. Huoni mamy kuwa umepata nafasi ya kugundua ya undani mwako zaidi, haaa haaa safi

kitendo cha wewe kugundua weakness yako its a very big step katika maisha yako na kupunguza au kuondoa kabisa hilo tatizo la ubishi, jitahidi kupunguza kwasababu huwa inawafanya watu wengine kuogopa kutoa mawazo yao mbele yako

..thanks you all kwa kuona manufaa ya thread hii...

Kujitambua na kukubali kujirekebisha ni hatua ya kwanza kujiwekea mazingira mazuri kwenye mahusiano, na kuepuka kurudia makosa yale yale yanayokuharibia mahusiano yako kwa mwenza wako.

Hakuna Mkamilifu.
 
Mbu topics zako full kejenga mahusiano mazuri kati ya wenza... me like that.

Hata hivyo Mbu naona tabia zako na zangu zafanana,
hamna haja ya kujirudia ila haja ya kuweka a big thankyou….
Hope uko pouwa.
 
kitendo cha wewe kugundua weakness yako its a very big step katika maisha yako na kupunguza au kuondoa kabisa hilo tatizo la ubishi, jitahidi kupunguza kwasababu huwa inawafanya watu wengine kuogopa kutoa mawazo yao mbele yako
Thanks; ila kuna situations nyingine nikiamua kulet it go l mean nisiargue, watu wanaona au nimedharau (l think dharau is my other weakness) au nimeboreka! I am very readable, l mean expressionwise na siwezi kuhide hisia; kwahiyo kama l am not well convinced bado mtu atajua hata nikimwambia l aggree with you!Currently nakaa na nephew wangu, a teeneger kamaliza form 6, napata shida what not to do! Ni argue au nimuache awin, sitaki apoteze confidence na pia nataka awe ana question every assumptions! Coz sometimes l argue ili kuexplore other options! So shida yangu ni how to let a person win an argue na afeel kweli amewin!Again nawashukuru sana for this!
 
Haaa Mbu ana balaa but MJ1 mamy hapa ndio mahali watu wazima wanapoweza kujifunua na kuona ya wenzao, wakajifunza mazuri mabaya wakayarekesha, ni very challenging kwa mtu kujua +ve zake na -ve zake na kujifanyia tathmini. Huoni mamy kuwa umepata nafasi ya kugundua ya undani mwako zaidi, haaa haaa safi

My one and Only!!........... hii thread imeni'kuza na kunikomaza' kimahusiano. Unajua nilikuwa sielewi why mtu anaamua tu kuwa hataki kunielewa..mbishi kupindukia? Yaani kwake mie siwezi hata kuchangia chochote akanielewa au akakubali kuwa niko sahihi. Nitakupa mfano mmoja mdogo, kuna siku tulikuwa barabarani tukawa tumesimamishwa na trafik, bahati mbaya alitusimisha very close na yeye, so mie na unaive wangu nikajua tunatakiwa kusimama mbele kidogo, but hatukusimama akapita; kwa mshangao wangu nikauliza why, akasema atanisimamishaje karibu namna ile...........I asked lakini si unatakiwa kusimama mbele kidogo pale inaporuhusu? akabisha na kwa bahati mbaya ndo nikawa nimesababisha siku kuharibika.

Sasa kwa mtu kama huyu sikuwa ninamwelewa kabisa, nilikuwa always nachukulia kuwa hanithamini, ananidharau kuwa sijui kitu n.k n.k.............lakini kumbe wengine ni tabia ambayo bahati mbaya pia inajengwa kutokana na malezi. Kama utotoni ulikuzwa na mzazi ambaye s/he was always criticizing you basi alikuwa anaiua confidence yako, na matokeo yake ukiwa mkubwa utajaribu kuiwin back na kuonyesha kuwa unajua even in a very stupid way like kubishia kila kitu............hatimaye wangu nilikuja mwelewa na kwa kupitia thread hii nimeelewa vizuri zaidi.

Aksante sana Mbu na wachangiaji wengine wote kwa kunifanya mtu mpya kimahusiano.
 
Thanks; ila kuna situations nyingine nikiamua kulet it go l mean nisiargue, watu wanaona au nimedharau (l think dharau is my other weakness) au nimeboreka! I am very readable, l mean expressionwise na siwezi kuhide hisia; kwahiyo kama l am not well convinced bado mtu atajua hata nikimwambia l aggree with you!Currently nakaa na nephew wangu, a teeneger kamaliza form 6, napata shida what not to do! Ni argue au nimuache awin, sitaki apoteze confidence na pia nataka awe ana question every assumptions! Coz sometimes l argue ili kuexplore other options! So shida yangu ni how to let a person win an argue na afeel kweli amewin!Again nawashukuru sana for this!

Kiranga ....pole mydia.
I dont know the extent ya tatizo lako but nami I used to be like you. yaani I used kuona kila aurgument ukweli wake umelala kwenye 'points' zangu mimi. Ilikuwa ngumu sana kuwezanishawishi nikukubalie -hasa kama kitu chenyewe ninadhani na kujiamini ninakijua' ...hii ilinipelekea kukosana na watu wengi (kitu ambacho hakikunisumbua sana) mpaka nilipokuja kuanza kupishana lugha kila mara na mwandani wangu...(huyu tulikuwa tumekutana kwa ubishi ila yeye mwenzangu anayo PhD kabisa loh)......mwanzoni sikuwa nakubali kushindwa, yaani hasa likija swala la mahusiano ya kijamii, I used to see myself kuwa ninajua zaidi yake yeye..yeye hana alijualo zaidi ya formulars tu za mahesabu!!

Nikaanzajifunza yafuatayo (ambayo mengi yamesemwa tayari humu)
1. Kumsikiliza- tunapokuwa tunabishiana hatukuwa tunasikilizana/subiriana mmoja amalize (rejea post ya Lizzy). Ajabu nilipoamua kusikiliza niligundua kuwa kuna vitu vingi anavijua kwa perspective yake (ambayo haiko sawa na yangu lakini kuna ukweli flani ndani yake!) na nikagundua kuwa ni ujuzi huo katika perspective yake unaomfanya aamini anachokisema yeye ndicho sahihi.
2. baada ya kugundua hilo, nikaanza kuwa mpole....akimaliza kuongea, ninaanza kumwuliza anifafanulie zaidi yale aliyoyasema...kama kuna sehemu sijapaelewa au nimepaelewa lakini pako tofauti na mtazamo wangu.
3. Akishanifafanulia..ninamwambia .okay, nimekuelewa so unamaanisha , a,b, and c......... kwa mtazamo huo uko sahihi kabisa. Lakini hivi tukiiangalia hii kwa mtizamo mwingine tofauti unakuwaje.............. (hapa ninatoa mtizamo wangu na kuachia nafasi ya yeye kuelezea ...) So inageuka kuwa discussion/dialogue na si malumbano au ubishani.

Kama itafikia mwisho bila muafaka, sioni shida kumpa ushindi kwani (kwa hakika ni mshindi kwa perspective yake). .... na mimi nitajiridhisha moyoni kuwa nimeshindwa kwani nimefanikiwa kumwonyesha upande mwingine wa hicho tulichokuwa tunabishania.

Kumbuka....wanaume wengi huwa hawaichukulii kirahisi kushindwa katika majadiliano- hata ikiwa na wanaume wenzie; sembuse mwanamke??!.

Samahani kwa maelezo marefu.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
I am so sorry, kwa kuwa sikuiona hii thread mapema,
Lakini, Mbu napenda kukwambia kuwa umeileta mahali pake haswa,
nataraji kuwa hii michango ya wadau hapa ndio hasa hulka/tabia/mienendo yao,
kiukweli inatupa mafunzo na uzoefu mbalimbali katika mahusiano yetu.......

Binafsi, nipo very social!kiukweli napenda sana kujichanganya na makundi,
mbalimbali katika jamii, regardless of their differences in culture, age, wealth,level of education etc.

Nimekuwa hivyo katika makuzi yangu, na ndivyo navyoishi!
naweza kujikuta najichanganya na watu, na tukafurahia maongezi na maisha kwa pamoja,
bila kinyongo wala chembe ya dharau!nikitoka hapo roho yangu kwatu kabisa, na furaha tele moyoni!

Tatizo: Kiukweli mwenzangu hafurahishwi na hili,
hapendi mimi niwe mrahisi kiivyo (kama ambavyo yeye huwa ananiambia), kwamba kila mtu naweza jichanganya nae,
Na furaha yake ingetimia kama angeweza kunichagulia rafiki,
ambae kwa mtazamo wake anaona kuwa huyo ndo angenifaa!!!!!!!
Kiukweli yeye anakwazika, na mimi najaribu kumsikiliza lakini bado inakuwa ngumu kidogo kuipractise hii...................
 
I am so sorry, kwa kuwa sikuiona hii thread mapema,
Lakini, Mbu napenda kukwambia kuwa umeileta mahali pake haswa,
nataraji kuwa hii michango ya wadau hapa ndio hasa hulka/tabia/mienendo yao,
kiukweli inatupa mafunzo na uzoefu mbalimbali katika mahusiano yetu.......

Binafsi, nipo very social!kiukweli napenda sana kujichanganya na makundi,
mbalimbali katika jamii, regardless of their differences in culture, age, wealth,level of education etc.

Nimekuwa hivyo katika makuzi yangu, na ndivyo navyoishi!
naweza kujikuta najichanganya na watu, na tukafurahia maongezi na maisha kwa pamoja,
bila kinyongo wala chembe ya dharau!nikitoka hapo roho yangu kwatu kabisa, na furaha tele moyoni!

Tatizo: Kiukweli mwenzangu hafurahishwi na hili,
hapendi mimi niwe mrahisi kiivyo (kama ambavyo yeye huwa ananiambia), kwamba kila mtu naweza jichanganya nae,
Na furaha yake ingetimia kama angeweza kunichagulia rafiki,
ambae kwa mtazamo wake anaona kuwa huyo ndo angenifaa!!!!!!!
Kiukweli yeye anakwazika, na mimi najaribu kumsikiliza lakini bado inakuwa ngumu kidogo kuipractise hii...................

Bacha nimependa tabia yako.
hapo kwa weakness hapo wala si kubwa.........nadhani ni vema ukamwelewesha mwenzi wako faida na hasara unazozipata unapofanya hivyo na ukampa nafasi ya yeye kukuelezea why anahisi anakwazika au si vema. But kwa mtizamo wangu hiyo si tabia mbaya ni kiasi cha wewe kumwelewesha (na pengine kumtoa hofu) wifi. Na nina uhakika atakuelewa
 
Mbu mie nina tabia moja.......sijui kama ni mbaya au vipi........nikikosewa na kama hujayarekebisha, huwa nina'mute' mpaka kwa bibi...........yaani hata unitekenye vije 'bibi sijamfungua' na si kwamba nafanya kukomoa la hasha....... hata nikisema nimfungue 'bibi' hupata maumivu makali (nadhani ni psychological effects)........!!!

Huwa ninaamini kuwa kuna connection kati ya "bibi" na hisia. lol .......but huwa niko flexible nikiona umekaza buti (hutaki kuzungumzia lililotokea) huwa ninachukulia kuwa kwa wewe kutaka 'bibi' (Hapa kama umekosea yaani hata mwezi nitasubiri........sianzi wala kuchokozai!!) ni ishara ya wewe kutaka suluhu......sasa ole wako nimpe ruhsa 'bibi' halafu kesho we uendeleza mnuno..................ah sahau

Aisee nimecheka mpaka basi lol, afadhali nimefungua hii thread leo jumatatu na bahati nzuri nimeanza na kichekol

Mimi kwa upande wangu nina hasira za karibu sana ila nashukuru huwa zinawahi kuisha na zikiisha zimeisha sikumbuki tena kama uliwahi niudhi. Ila siwezi kabisa kuweka kitu rohoni eti uniudhi halafu nikae kimya lazima nikwambie ili moyo wangu ubaki na amani, maana nikiwa na kitu rohoni huwa nahisi nakwabwa sijui na lijidude gani hivi.

Tabia ya pili hehehehe hii wengi sana wanaipinga na inanicost mara nyingi sana asee. Nina binti ninaempenda kuliko maelezo na imejengeka tabia kwa watu kwamba wazazi huwa hawaachani so ukiwa unawasiliana nae basi nyinyi mnakumbushiaga kitu ambacho kwa upande wangu nilishajiapia katu sitokuja kumbushia uhusiano nae kwani ni sawa na kujidhalilisha. Ila mawasiliano nitawasiliana nae vizuri sana kwa ajili ya binti yetu sioni haja ya sisi kununiana kisa tulizaa na kuachana.

Sasa hii tabia hii haikubaliki kwa wengi ila ndio hivyo sitoweza kuacha eti nimnyenyekee mpenzi ili asiudhike halafu maswala muhimu ya mtoto baba awasiliane na watu wengine kama mpenzi haniamini wakati niko na yeye basi katika hili kwa kweli ni ruksa aende tu.
 
Aisee nimecheka mpaka basi lol, afadhali nimefungua hii thread leo jumatatu na bahati nzuri nimeanza na kichekol

Mimi kwa upande wangu nina hasira za karibu sana ila nashukuru huwa zinawahi kuisha na zikiisha zimeisha sikumbuki tena kama uliwahi niudhi. Ila siwezi kabisa kuweka kitu rohoni eti uniudhi halafu nikae kimya lazima nikwambie ili moyo wangu ubaki na amani, maana nikiwa na kitu rohoni huwa nahisi nakwabwa sijui na lijidude gani hivi.

Tabia ya pili hehehehe hii wengi sana wanaipinga na inanicost mara nyingi sana asee. Nina binti ninaempenda kuliko maelezo na imejengeka tabia kwa watu kwamba wazazi huwa hawaachani so ukiwa unawasiliana nae basi nyinyi mnakumbushiaga kitu ambacho kwa upande wangu nilishajiapia katu sitokuja kumbushia uhusiano nae kwani ni sawa na kujidhalilisha. Ila mawasiliano nitawasiliana nae vizuri sana kwa ajili ya binti yetu sioni haja ya sisi kununiana kisa tulizaa na kuachana.

Sasa hii tabia hii haikubaliki kwa wengi ila ndio hivyo sitoweza kuacha eti nimnyenyekee mpenzi ili asiudhike halafu maswala muhimu ya mtoto baba awasiliane na watu wengine kama mpenzi haniamini wakati niko na yeye basi katika hili kwa kweli ni ruksa aende tu.


Maty nimeshindwa kabisa vumilia for umenikumbusha the Jerk!!! (sorry mbu off topic....)
 
Bacha nimependa tabia yako.
hapo kwa weakness hapo wala si kubwa.........nadhani ni vema ukamwelewesha mwenzi wako faida na hasara unazozipata unapofanya hivyo na ukampa nafasi ya yeye kukuelezea why anahisi anakwazika au si vema. But kwa mtizamo wangu hiyo si tabia mbaya ni kiasi cha wewe kumwelewesha (na pengine kumtoa hofu) wifi. Na nina uhakika atakuelewa

Uzuri ni kwamba, ameanza kunielewa polepole,
na kutokana na tabia yangu ya kujichanganya,
najikuta hata marafiki zake niko nao poa tu,
bila kumbagua yeyote, hii imenisaidia kumjengea confidence.........................
 
Kwa kweli mibusara ya hali ya juu imemwagwa katika hii thread,Mbu senks kwa kuleta uzi huu.Ushauri wangu ni mmoja hasa kwa wale ambao wamekonfess kuwa ni wabishi...'you wll learn more from listening than in talking...' mwisho wa ushauri.
 
Asha kulikoni umebadili ID? hujambo lakini?

Bishanga mzima wa afya... ilinibidi kubadilisha for special reasons...
Hata ivyo, uzi wako wa jana wa jukwa la siasa umetupwa wapi??
Mi nileependa sana...

Naamini nawe Mzima B.
 
kitu ambacho nimeshindwa kujirekebisha kabisa kwenye ni "kinyongo" huwa nina kinyongo sana esp nijue kabisa hapa nadanganywa na nina hakika unanidanganya then hutki kuniambia ukweli bado mbishi tu na bac hapo kinyongo changu hakiishi, ukitaka kiishe niambie ukweli, eg wakati ule nilipomfumania alianza maelezo akitanguliza uongo uongo fulani kujitetea nilimshikia bango na ndio ingekuwa mwisho wetu ule lakini alivyosema ukweli roho ilitulia na kinyongo kikaisha, cpengi kudanganywa nikijua nadanganywa...kitu kingine ni "ukali" hili watu wengi esp mr huwa ananiambia mie mkali, lakini kila mwenzangu anaponiambia nipunguze cjijui naupunguzia wapi au nianzie wapi, hapa cjuagi kabisa nifanyaje....kingine ni kulalamikiwa bila sababu maalum, mr ana ile tbia kama akikucal/sms umeshindwa kujibu kwa wakati maalum bac hapo tatizo tayari, ntahicwa/shutumiwa kwa kila aina ya jambo.
 
Bishanga mzima wa afya... ilinibidi kubadilisha for special reasons...
Hata ivyo, uzi wako wa jana wa jukwa la siasa umetupwa wapi??
Mi nileependa sana...

Naamini nawe Mzima B.
Nipo ok.Ule uzi nahisi kuna wakubwa uliwagusa pabaya,ndo mana huwa sipendi kuvinjari kule maana thinking yangu kuhusu siasa kwa ujumla wake inatofautiana sana na wana JS walio wengi.Ningefurahi sana kama tungeongozwa na philosophers kuliko wanasiasa.Usijali lakini madogo tu hayo.
 
Nipo ok.Ule uzi nahisi kuna wakubwa uliwagusa pabaya,ndo mana huwa sipendi kuvinjari kule maana thinking yangu kuhusu siasa kwa ujumla wake inatofautiana sana na wana JS walio wengi.Ningefurahi sana kama tungeongozwa na philosophers kuliko wanasiasa.Usijali lakini madogo tu hayo.


I know, nilicomment for i was so supporting it... enways bora hapa kwetu MMU...
 
Back
Top Bottom