Chuo kipya kihesa-iringa kwa hehe wote

Panga La Shaba

JF-Expert Member
Dec 24, 2009
209
68
[h=6]TANGAZO KWA WAHEHE WOTE:
Chuo kipya kabisa cha Kihehe kimefunguliwa Kihesa, Iringa.
(HEHE SKILLS AND TECHNICAL COLLEGE OF LIFE)
Kinatangaza kozi za mwaka 2011/2012 kama ifuatavyo:
1.Kugema ulanzi miezi 6
2.Kusokota kamba za kujinyongea miezi 9
3.Kuchagua mbwa anayefaa kuliwa na mapishi yake miezi 8
4.Kuongeza hasira miezi 10-12
Atakayejiunga mapema atapewa kozi ya upishi wa Mkunungu pamoja na uoshaji wa Mbeta.
[/h]
 
Hiyo thread yako peleka facebook. Hapa 2najadili mambo muhimu. Huoni matatizo yanayoikumba nchi ye2? Kalagabaho!
 
Hiyo thread yako peleka facebook. Hapa 2najadili mambo muhimu. Huoni matatizo yanayoikumba nchi ye2? Kalagabaho!
<br />
<br />
Hili ni jukwaa la utani, tukuulize wewe umefuata nini huku? Hujaliona jukwaa la siasa? Sometymz u nid 2relax,and take away ur stress even for a moment. Sote tunalipenda taifa letu na tunaguswa sana na matatizo yanayolikumba taifa letu.
 
Hiyo thread yako peleka facebook. Hapa 2najadili mambo muhimu. Huoni matatizo yanayoikumba nchi ye2? Kalagabaho!
<br />
<br />
umesoma hapo juu brother? Iko mahali pake kabisa! Imekuchoma nini..ha ha haaa
 
ada sh ngapi kwa kila kozi
pia hujasema kozi zinaanza lini
QUALIFICATION JE AU NI KUWA MHEHE TU INATOSHA
 
and Yes it is a technical college. Mpaka uweze kufikia kuvuna ulanzi, kwanza uoteshe miti yake, ulanzi wenyewe unavunwa kwenye miti michanga, hii huwa na juice nzuri sana. Lakini unaweza kuuweka ukawa mtogwa au mkangafu. Kuna kiwanda kinataka kuanzishwa kwa ajili ya usindikaji wa kinywaji hiki, hakika ni kinywaji kizuri sana. Ikiwezekana kinaweza kuuzwa hata nje ya nchi, inategemea na hali ya uzalishaji. Tunataka kupunguza unywaji wa whisk za urusi ... monte de van .. heinken. Ni vema hela ikabaki kwetu ili tupate hata hela ya kufua umeme wa kiwila megawati elf 25. Inafahamika kwamba kila kabila lina aina yao ya pombe(extreme ni gongo), hivyo kwenu pia ipo, tuambie ni ipi ipo kwenu!!!

Kuna afande mmoja kajinyonga mitaa ya kihesa nasikikia ni mtu wa musom - (aroo hebu rirete huku), kuna watu wawili (mmoja mchiga -(yesu na maria) na mwingine mndombolo) walijinyonga chuo kikuu dar es salaam (2005/2006) sina updates kwa sasa. Nadhani knowledge hii inatakiwa na watu wengi, hebu chunguza kwako halafu uone mahitaji hayo ya kufungua pia huko kwenu... nategemea uwezo wa chuo unachotangaza utakuwa mdogo. Fuatilia takwimu za kujinyonga hivi sasa uone tatizo lilivyotawanyika..

Bata na kuku wote wanajisaidia, tatizo bata.. fuatilia, kuna nchi watu wanakula mbwa, paka, nyoka, konokono- china ni baadhi ya hizo katika baadhi ya vyakula nilivyotaja........... we umezaliwa upande gani, ninyi mnakula nini, kuna mkoa hapa nchini inasemekana wana historia ya kula watu, unaujua mkoa wako vizuri, usije ukawa wako hebu fuatilia, hivyo kozi yako ni ya kawaida mno haitapata wateja... jaribu hiyo ya kula watu. Tanzania tuna varieties za vyakula, so still selective.....

Lakini kozi ya hasira kila mmoja alishapitia tangu anazaliwa(inborn) kama huna hasira una matatizo, kamwone daktari atakwambia nyongo yako imepinda au la sivyo imetoboka na hivyo inakushindwisha kuchukia, ingawa unaweza kumwomba akusaidie kuitoboa zaidi ili uwe unacheka tu hata ukipigwa kibao(joke).
HIVYO OFFICIALY NAKIFUNGA CHUO CHAKO, FUNGUA MRADI MWINGINE, HUU HAUTAKULIPA.

ukiongea na watu utayapata haya ya watu
 
Mtogwa hadi mkangafu, ukizidisha kidogo unakuwa mdindifu! This order is biochemically organissed as sugar, alcohol, liquor and finally keatone. hii ni kwa wataalamu wa organic chemistry, teh teh teh !
and Yes it is a technical college. Mpaka uweze kufikia kuvuna ulanzi, kwanza uoteshe miti yake, ulanzi wenyewe unavunwa kwenye miti michanga, hii huwa na juice nzuri sana. Lakini unaweza kuuweka ukawa mtogwa au mkangafu. Kuna kiwanda kinataka kuanzishwa kwa ajili ya usindikaji wa kinywaji hiki, hakika ni kinywaji kizuri sana. Ikiwezekana kinaweza kuuzwa hata nje ya nchi, inategemea na hali ya uzalishaji. Tunataka kupunguza unywaji wa whisk za urusi ... monte de van .. heinken. Ni vema hela ikabaki kwetu ili tupate hata hela ya kufua umeme wa kiwila megawati elf 25. Inafahamika kwamba kila kabila lina aina yao ya pombe(extreme ni gongo), hivyo kwenu pia ipo, tuambie ni ipi ipo kwenu!!!

Kuna afande mmoja kajinyonga mitaa ya kihesa nasikikia ni mtu wa musom - (aroo hebu rirete huku), kuna watu wawili (mmoja mchiga -(yesu na maria) na mwingine mndombolo) walijinyonga chuo kikuu dar es salaam (2005/2006) sina updates kwa sasa. Nadhani knowledge hii inatakiwa na watu wengi, hebu chunguza kwako halafu uone mahitaji hayo ya kufungua pia huko kwenu... nategemea uwezo wa chuo unachotangaza utakuwa mdogo. Fuatilia takwimu za kujinyonga hivi sasa uone tatizo lilivyotawanyika..

Bata na kuku wote wanajisaidia, tatizo bata.. fuatilia, kuna nchi watu wanakula mbwa, paka, nyoka, konokono- china ni baadhi ya hizo katika baadhi ya vyakula nilivyotaja........... we umezaliwa upande gani, ninyi mnakula nini, kuna mkoa hapa nchini inasemekana wana historia ya kula watu, unaujua mkoa wako vizuri, usije ukawa wako hebu fuatilia, hivyo kozi yako ni ya kawaida mno haitapata wateja... jaribu hiyo ya kula watu. Tanzania tuna varieties za vyakula, so still selective.....

Lakini kozi ya hasira kila mmoja alishapitia tangu anazaliwa(inborn) kama huna hasira una matatizo, kamwone daktari atakwambia nyongo yako imepinda au la sivyo imetoboka na hivyo inakushindwisha kuchukia, ingawa unaweza kumwomba akusaidie kuitoboa zaidi ili uwe unacheka tu hata ukipigwa kibao(joke).
HIVYO OFFICIALY NAKIFUNGA CHUO CHAKO, FUNGUA MRADI MWINGINE, HUU HAUTAKULIPA.

ukiongea na watu utayapata haya ya watu
 
Nimetoa mfano wa kujinyonga, hii pia inafanana, jaribu kufuatilia. Lakini vilevile hata uingereza kuna watumishi wa ndani. Tatizo wamekuwa hawapewi maslahi yao stahili kwa kuwa wanaojifanya waajili nao hawajiwezi kwamba wana kipato kidogo hasa kwa hapa Tz. Hii ingekuwa kazi bora kama ingeheshimiwa, kumbuka kuna ajira mbaya zaidi, nadhani unafahamu.
declare interest tafadhali.
 
Mitanzania ndivyo tulivyo, dharau mbele takwimu za kimataifa zinaonyesha kazi ya chini kabisa ni ya ulinzi, u-house girl haupo kabisaa katika kazi za chini, nenda ulaya uone kama unaweza kumwajiri house! Vile vile ni vzr wachangiaji waweke wazi sehemu wanazotoka ili tuchambue. Nyani haoni kundule, yaweza kuwa watu wanaponda jamii nyingine ilhali(whereas) yeye ndio wa kwanza kuwa na simu, computer etc kijijini kwao, nenda Iringa leo kama utapata house girl.
 
[h=6]TANGAZO KWA WAHEHE WOTE:
Chuo kipya kabisa cha Kihehe kimefunguliwa Kihesa, Iringa.
(HEHE SKILLS AND TECHNICAL COLLEGE OF LIFE)
Kinatangaza kozi za mwaka 2011/2012 kama ifuatavyo:
1.Kugema ulanzi miezi 6
2.Kusokota kamba za kujinyongea miezi 9
3.Kuchagua mbwa anayefaa kuliwa na mapishi yake miezi 8
4.Kuongeza hasira miezi 10-12
Atakayejiunga mapema atapewa kozi ya upishi wa Mkunungu pamoja na uoshaji wa Mbeta.
[/h]

NA cha wahaya kimefunguliwa ISHOZI KOZI KIANZIO NI UMALAYA NA ROHO MBAYA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom