Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,936
- 6,846
Kwani lazima chama cha wanafunzi kitambuliwe na uongozi wa chuo? Pengine huu ndiyo wakati muafaka wa wanafunzi kuwa na chama ambacho kitawakikilisha wao bila kuingiliwa na mamlaka ya Chuo. Ikibidi waende mpaka mahakamani kudai haki yao ya msingi ya uwakilishi halisi na si huu wa kilemba cha ukoka! Aluta Continua.
Amandla...........
Amandla...........