G Godwishes JF-Expert Member Aug 26, 2011 639 164 Oct 12, 2012 #1 Wakuu,nazipata huku niliko,Eti kuna Lecturer na wamefanyiwa vitendo visivyofaa kisa ni kufelisha wanachuo kwa makusudi.Poleni sana wahusika na hayo.
Wakuu,nazipata huku niliko,Eti kuna Lecturer na wamefanyiwa vitendo visivyofaa kisa ni kufelisha wanachuo kwa makusudi.Poleni sana wahusika na hayo.
K Kimbori JF-Expert Member Feb 21, 2012 5,417 3,154 Oct 12, 2012 #2 Zamani walifanyiwa walimu wa ngazi za chini, sasa vihiyo wamefika Elimu ya juu na kuendeleza uhuni. Hii ni hatari sana..
Zamani walifanyiwa walimu wa ngazi za chini, sasa vihiyo wamefika Elimu ya juu na kuendeleza uhuni. Hii ni hatari sana..
M mgomba101 JF-Expert Member Oct 21, 2011 1,817 706 Oct 12, 2012 #5 TECU ndio nini?? Kajipange uje na habari kamili.halafu tumia lugha nzuri hapa sio Global publishers.