CHIETH
Senior Member
- Aug 15, 2011
- 179
- 67
CHUO KIKUU CHA UDAKTARI CUHAS-BUGANDO NI CHUO CHA UBABAISHAJI. HIVI MAJUZI mKUU WA KITIVO CHA UDAKTARI ALITAKA KUWAFUTIA UDAHILI WANAFUZI WA MWAKA WA TATU ETI HAWAKUFANYA MITIHANI KATIKA MASOMO AMBAYO HAWAKUFUNDISHWA. cHUO HIKI KINA MATATIZO MAKUBWA YA UFUNDISHAJI HASA KWA MASOMO YA UDAKTARI. MADAKTARI WANARINGA, WANATUKANA WANAFUNZI, HAWAFUNDISHI NA WAMEJAA MAJIGMBO. hUENDA MADAKTARI WANAOTOKA HAPA WAKAWA WABOVU ZAIDI. TUNAOMBA WAZAZI MUWE MACHO NA CHUO HIKI KAMA MNAWATAKIA WATOTO WENU MAENDELEO MEMA.
Haya yalikuwa ya huko nyuma,semester iliyo pita. Hata hivyo kwa sasa kuna mabadilko makubwa baada ya thread hii hapa miezi miwili iliyopita. Wanafunzi wa mwaka wa 3 (2011/2012) wanapata dose ya shule kama inavyohitajika.
Kwa hili ninaomba wanaJF kuwapongenza uongozi wa CUHAS_Bugando kwa kuwa wasikivu na kufanya maboresho makubwa sana ya ufundishaji.
Ahsanteni sana kwa ushirikiano wenu wanaJF kwa maoni.
Haya yalikuwa ya huko nyuma,semester iliyo pita. Hata hivyo kwa sasa kuna mabadilko makubwa baada ya thread hii hapa miezi miwili iliyopita. Wanafunzi wa mwaka wa 3 (2011/2012) wanapata dose ya shule kama inavyohitajika.
Kwa hili ninaomba wanaJF kuwapongenza uongozi wa CUHAS_Bugando kwa kuwa wasikivu na kufanya maboresho makubwa sana ya ufundishaji.
Ahsanteni sana kwa ushirikiano wenu wanaJF kwa maoni.