Kivumah
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,428
- 1,050
Serikali ya Tanzania inawekeza zaidi ya Tsh Bilioni 30, kujenga Chuo kikuu kipya cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela huko Arusha. Chuo hicho kitakuwa cha pekee barani Afrika na kitatoa Shahada za Uzamili na Uzamivu.
libeneke lake hili hapa: NM-AIST Arusha.
Watanzania tutumie nafasi hii kupata wataalam waliobobea katika Sayansi na Taknolojia
libeneke lake hili hapa: NM-AIST Arusha.
Watanzania tutumie nafasi hii kupata wataalam waliobobea katika Sayansi na Taknolojia