Kidumu chama na zidumu fikra za mwenyekiti hata ni kichaa ndicho kinachokusumbua. kwani wangapi wamekufa wakati wa MOI KENYA ila leo wakenya kwa ujumla wanafaidi katiba mpya.yale yale hamna jipya.
Mnagoma alafu wenzenu wakifukuzwa hamuwatetei.
Wengi wameathirika na migomo yenu e.g. Julius Mtatiro, Odong n.k.
Nyie mtapata hio 10000 alafu waliowasaidia kuipata watafukuzwa chuo.
I hope they have a better strategy ya kuwaokoa watakaofukuzwa.