Songoro
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 4,122
- 1,017
Ndugu, ukistaajabu ya Musa utaona ya Firahuni, Siasa katika vyuo vyetu ni tatizo linalozidi kukuwa siku hadi siku, utakumbuka uwepo wa wimbi la wanasiasa wenye vyeti feki toka katika vyuo vyetu ni moja ya impact tunayoiona leo kutokana na mfumo siasa kujipenyeza katika mfumo taaluma wa elimu.
Jiulize wale waliomtunuku JK Phd ya heshima walikuwa hawahawa wanazuoni wenye kufuata mrengo wa kitaaluma ama walikuwa wanazuoni-siasa, wenye kufanya lolote elimradi kuwaenzi na kuwafurahisha watawala?
Baregu aliondoka hapo UDSM sababu ya kuwa ktk opposition,
Dadi aliondolewa pale Arusha sababu ya kuwa Opposition,
Leo wahadhiri wataalamu wananyimwa mikataba ya nyongeza pindi wanapogundulika ni wapinzani wa mabwanyeye
mwasisi wa huo mchezo ni Mwl Nyerere,katafute Historia ya akina Christopher Kasanga Tumbo,Prof Babu,Oscar Kambona,Mzee Aboud Jumbe uone walivyofanywa na mwl Nyerere wakati waliyoyasimamia ndio leo yanatokea,Kambona alipinga ujamaa wa kisiasa wa nyerere akafukuzwa,mzee jumbe alipigania serikal 3 akafukuzwa,nan leo naweza akawapinga hawa wazee!