OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Inaelekea hali ya Wanafunzi wa Chou kikuu cha Dar Es Salaam bado ni tete kutokana na habari kuwa sasa hivi wameanza kufanya maandamano wakiwa wanatokea maeneo ya kitivo cha sheria. Haijafahamika kama maandamano hayo yamepangwa kuelekea wapi ila kwa walio karibu na wenye taarifa watujulishe hali ilivyo