ecolizer baba
Member
- Sep 29, 2010
- 88
- 310
Wakuu habari? Hili ni ombi maalum kwa uongozi wote wa CHADEMA na wanamageuzi wote.Kama mnanisikia please njooni mtufungulie tawi huku chuoni vijana wana hamu ya kupata kadi za chama na kuwa wanachama kamili.Naomba kuwasilisha.