Chuo Kikuu bora TZ ni kipi kwa kusomea Uhasibu au Biashara? - ni UDSM, Mzumbe au IFM?

du wakuu mbona hamkumbuki uhasibu arusha au sio chuo cha accounting &finance umahiri wake unatisha wako professional; zaidi
 
The best college Tumaini university......stefano moshi memorial university college..(SMMUCo)
 
Jamani ni vyuo vipi vizuri kwa diploma ya acount au plocurement and supplies! nisaidien kujua na ada zake ikiwa ni pamoja na hostels.
 
Wadau naomba msaada. Nina uncle wangu anataka kumrejesha mtoto wake aje asomee shahada ya biashara kwenye University/Chuo hapa Tanzania. Ameniomba ushauri kuhusu wapi ampeleke mtoto wake (Chuo bora kwa masomo ya Uhasibu au Biashara). Kwa vigezo rahisi vya popularity x 'quality' nimepata vyuo 3 - UDSM, Mzumbe na IFM. Naomba mwongozo kuhusu kipi bora zaidi (just ranking). Naomba kuwakilisha.
Ubora katika uhasibu utaujua kwa kutumia takwimu tu. Kwa mfano ni wanafunzi wangapi toka Chuo husika wamesajiliwa na NBAA kama CPAs. Je wahitimu aa chuo husika dhidi ya vyuo vingine inawachukua muda gani kufaulu masomo ya CPA? Na mwishowe ni wahitimu wangapi wa Chuo husika wana head departments za uhasibu kwenye taasisi kubwa. Takwimu kama hizi zinaweza kupatikana kutoka kwenye ripoti za ESAURP, au Synovate au ERSF. Kinyume cha hapo kila mmoja atakuwa anavutia chuo alichosoma yeye. No data no right to speak
 
Mzumbe noumar jaman hata pass zao ni za juu kuliko hao ifm ua udsm
<br />
<br />
mzumbe kwa kozi uhasibu wanachukua had pts 15 bt udsm huwez kuta m2 mwenye tokeo hlo,pale mwaka ambao matokeo huwa ni mabaya ndo huwa znachukuliwa hadi dv 2 otherwise ni dv 1 tu so me namshauri m2 amlete nduguye udsm au akitaka awe nöndo kwenye econometrics amrushe sua,huko kwngne ubabaishaji 2.
 
Ndugu yangu najua unataka kupata ushauri wa manufaa, ila kiinachoendelea hapa ni maswala ya Mwamba ngozi huwa anavutia kwake. Kila atakayekupa ushauri hapa ni kwasababu amesoma hapo au ana maslahi yake fulani.

Sitaki nitoe jibu la kwamba kipi kizuri au la. Shule kwa kiasi kikubwa ni swala la mwanafunzi mwenyewe.

Nakushauri kwanza aombe kulingana na kozi anayotaka kusomea na wapi hiyo kozi inapatikana.

Ninachotaka nikuondoe hofu ni kwamba kama huyo mtu wako ni safi, na anataka biashara basi aanzie kati ya IFM au Mzumbe. Akishindwa achukue UDSM. Mambo ya kishindikana ndio atafute mambo mengine.
 
Ndugu yangu najua unataka kupata ushauri wa manufaa, ila kiinachoendelea hapa ni maswala ya Mwamba ngozi huwa anavutia kwake. Kila atakayekupa ushauri hapa ni kwasababu amesoma hapo au ana maslahi yake fulani. <br />
<br />
Sitaki nitoe jibu la kwamba kipi kizuri au la. Shule kwa kiasi kikubwa ni swala la mwanafunzi mwenyewe.<br />
<br />
Nakushauri kwanza aombe kulingana na kozi anayotaka kusomea na wapi hiyo kozi inapatikana. <br />
<br />
Ninachotaka nikuondoe hofu ni kwamba kama huyo mtu wako ni safi, na anataka biashara basi aanzie kati ya IFM au Mzumbe. Akishindwa achukue UDSM. Mambo ya kishindikana ndio atafute mambo mengine.
<br />
<br />
acha kumpoteza mshikaji.
 
Vyuo vyote vinafanana kila kimoja kina popularity yake ya kinamna namna, hapo kwenye quality interms of wat? majengo,wahadhiri nk,we muambie amlete tu ata-cope ila kwa vigezo vyako vya popularity na quality watakaokushauri kila mtu atavutia chuo chake na kukuacha katika dilemma
 
Kuna chuo kinaitwa: MUCCoBS kipo moshi ni balaa. Uliza NBAA utaambiwa
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
c bora aende hata saut au 2maini,sa hicho chuo chako ambacho hakijulikan hata kiko nchi gan,c ndio atapotea kabisa.
 
Senator ngoja nkusahihishe mwaka 2004 pale mzumbe cut off point kujoin BAF ilikuwa one ya point 7.
Kuhusu chuo opt for mzumbe,ifm au arusha uhasibu ata NBA watakudhihirishia ilo as baadhi ya ivyo vyuo tajwa apo mitaara yake kwa wahasibu inamatch na ya board ya NBAA
 
Senator ngoja nkusahihishe mwaka 2004 pale mzumbe cut off point kujoin BAF ilikuwa one ya point 7.<br />
Kuhusu chuo opt for mzumbe,ifm au arusha uhasibu ata NBA watakudhihirishia ilo as baadhi ya ivyo vyuo tajwa apo mitaara yake kwa wahasibu inamatch na ya board ya NBAA
<br />
<br />
nimesoma na washkaj wengi 2 waliopata matokeo ya ajabu ajabu na wakakosa nafasi Pale udsm wakakimbilia mzumbe,pale hakuna chochote..narudia kusema,ukitaka ucjutie muda wako wa kuwa chuon,bac piga shule udsm au sua,huko kwingne usanii m2pu..
 
Jamaa anaulizia vyuo vikuu alaf anataja ifm,hiki siyo chuo kikuu,ni chuo cha kati au uelewi maana ya chuo kikuu? Mzumbe na udsm kwa biashara vyote viko poa.
 
Site mwaka usilete majungu!
Vijana kibao wa udsm mitihani ya board inawagonga including one of the lecturer pale udsm.
All in all engineering nenda mlimani ila uhasibu a bi no
 
Mdau kaulizia vyuo vikuu au chuo chochote if kasema chuo kikuu obviously alikuwa anataka ............ university na si college wala institute, ningekukaribisha SUA kama hicho unachotaka kingekuwepo ila kwa vile hakipo wadau wengine watakusaidia
 
Kama nilivyosema mwanzo mie kuwa na pia nakushauri soma course content za BcomFinance ya UDSM na Bachelor of Banking and Finance. Utagundua kuwa kama unataka kijana wako ajengeke katika ulimwengu wa sasa in Finance and Accounting mpeleke IFM. Ikiwa kama unataka kusoma Economics au Econometrics kasome UDSM au SUA.

Vile vile katika Accounting ni hivyo IFM ijapokuwa ni Tertiary University ila wamejijenga zaidi katika field hizo za Banking, Finance and Accounting na wanakubalika mpaka Marekani na Ulaya na Middle East (wamepublish articles zao huko). Na walimu wake wengi ndio wanafundisha pia Mzumbe, UDSM na Tumaini. Hivyo ningelikushauri kwanza soma course content zao UDSM na vile vile angalia mfuko wako. Ikiwa mfuko umetoboka basi wewe nenda Mzumbe, au UDSM (ijapokuwa sasa hivi sijui private candidate analipa bei gani). Kama mfuko umetuna kamsomeshe IFM utakubali maneno nayoyasema. Tatizo la IFM kubwa liko kwenye walimu wake na ubusy wao usiokuwa na msingi na kuna tetesi kutoka kwa wanaosoma huko pia mitihani migumu wanayoitunga inawaumiza vijana.

Du! naona kama mnasahau sana Arusha Institute of Accountancy na Tanzania Institute of Accountancy, Maana nawaona sana sokoni wakiperfom kwa mwendo mdundo
 
Jamani ni vyuo vipi vizuri kwa diploma ya acount au plocurement and supplies! nisaidien kujua na ada zake ikiwa ni pamoja na hostels.

vyuo ni vingi kama chanika, talent, desktop, njueni, na zaidi tega sikio, lakini kwa ushauri nenda AIA, TIA, CBE, MZUMBE, IFM (kama pesa ipo) zaidi ya hapo changanya na akili zako kama mbayuwayu
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
c bora aende hata saut au 2maini,sa hicho chuo chako ambacho hakijulikan hata kiko nchi gan,c ndio atapotea kabisa.
<br />
<br />
ila we dogo ni ****** kweli, kila ck kweny topic za vyuo nakuona unakashifu vyuo hii katika vyuo tunaangalia output quality o input quality, kwa sababu c kila m2 mweny div 1 form six ameipata kwa uhalali, chunga kauli zako kwa kukandia vyuo vya wa2 ukimaanisha we ndo bora. Mara aia, tia, ifm, udom, muccobs, saut, tumaini unaviona sio vyuo, nmekufuatilia sana kama vile unasoma havard university, ****** sana, au we ndo wa kwanza kufika chuo nin acha usenge, kazi hawalipi mishahara kulingana na vyuo. Usenge huo .
 
Back
Top Bottom