kichwat
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 1,819
- 587
- Thread starter
- #21
Ok. Kuhusu TAALUMA I can conlude UDSM ndio the best.
Sasa labda kuhusu MAZINGIRA ya kusomea, je ni Mzumbe au? Mazingira manake utulivu wa mandhari, madarasa safi na ya kutosha, CUSTOMER SERVICE bomba, uhusiano wa heshima kati ya mwalimu na mwanafunzi (hasa usalama kwa girls), huduma ya chakula na malazi, recreational facilities, etc.
Sasa labda kuhusu MAZINGIRA ya kusomea, je ni Mzumbe au? Mazingira manake utulivu wa mandhari, madarasa safi na ya kutosha, CUSTOMER SERVICE bomba, uhusiano wa heshima kati ya mwalimu na mwanafunzi (hasa usalama kwa girls), huduma ya chakula na malazi, recreational facilities, etc.