BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,001
Cha kushangaza ni kua boom limeletwa chuoni...Hatujasaini mpaka leo.....Sisi ni mafukara ndo mana tunategemea bodi,,...Tabia ya hapa mpaka fujo ndo mgomo..::inakera sana.....Mana ikitokea migomo mda mwingi unapotea.:::Tanzania bili migomo inawezekana:::