Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Wadau kuna ndugu yangu anataka kwenda kusoma chuo cha kodi cha tra cha mikocheni hivi ni kweli mtu akimaliza anapewa ajira moja kwa moja kama mtu amesoma pale basi au ana ndugu yake atujuze ili tufahamu kama kuna ukweli wowote ndugu yangu asije kuingia chaka