mgunda1990
Member
- Jul 19, 2012
- 73
- 4
Habari, waungwana naskia Tanga kuna chuo cha kilimo kinaitwa UKIRIGURU, yeyote mwenye ufahamu please naomba msaada nimejarbu kucheki na mtandao but sijafanikiwa na je wanafanya ngaz ya cheti?natanguliza shukran
habar,waungwana naskia tanga kuna chuo cha kilimo kinaitwa UKIRIGURU,yeyote mwenye ufahamu plz naomba msaada nimejarbu kuchek na mtandao bt cjafanikiwa,na je wanafanya ngaz ya cheti?natanguliza shukran
ukiruguru kipo mwanza, kwa Tanga, chuo cha kilimo kinaitwa Mlingano, sawa dogo?
Hivi tuliomba mwaka huu vyuo vya kilimo majibu yamashatoka tayari...?Mimi pia nina shida ya Application form za Chuo cha UKIRIGURU 2015/2015 Pls aliyeziona hizo form tunaomba msaada wako tafadhali. Naona website ya Wizara ya Kilimo ambayo ndiyo ina hizo form haifunguki
KweliChuo cha kilimo Ukiriguru kipo Mwanza akipo Tanga
KIMEO CHANGU
Kipo mwanza piaHabari, waungwana naskia Tanga kuna chuo cha kilimo kinaitwa UKIRIGURU, yeyote mwenye ufahamu please naomba msaada nimejarbu kucheki na mtandao but sijafanikiwa na je wanafanya ngaz ya cheti?natanguliza shukran