Kilembwe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 2,056
- 1,598
Kama hawajabadili utaratibu huwa kuna intake mbili, moja huwa mwezi wa tatu na nyingine huwa mwezi wa saba kila mwaka, lakini nashauri ni bora ukalenga ile ya mwezi wa tatu mwakani so tuma maombi yako pale wizarani sasahuwa wanatuma maombi yao wizara ya afya mkuu,bt cjajua huwa ni wakati gani!