Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,927
- 22,083
Jamani wazima wote...wana ndugu kuna jamaa yangu alikuwa mpenzi sana wa chumvini sasa majuzi kakutana na acid ama sumu.
Jamaa ni black wanandugu ile sehemu ya mdomo pembeni ya jicho na kidevu kumekuwa kweupe kaama zeru zeru..ameenda kwa madktari wanamla hela tu paka hiki mpaka leo.
mtamsaidiaje huyu...kwa wale wapennzi wa hizi sehemu acha....tafuta njia nyingine kuridhisha kwa kweli unless unakuwa na kipima joto.......
Jamaa ni black wanandugu ile sehemu ya mdomo pembeni ya jicho na kidevu kumekuwa kweupe kaama zeru zeru..ameenda kwa madktari wanamla hela tu paka hiki mpaka leo.
mtamsaidiaje huyu...kwa wale wapennzi wa hizi sehemu acha....tafuta njia nyingine kuridhisha kwa kweli unless unakuwa na kipima joto.......