mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,323
- 1,105
Natafuta chumba na sebule kwa ajili ya kupanga kiwe maeneo ya Shekilango au Ubungo stand ya mkoa, kiwe kina hali nzuri, kusiwe na muingiliano wa watu wengi, kuwe kuna usalama, kodi isizidi laki moja na iwe kwa miezi sita tu.
naomba mnipige tafu kwa hili wana JF wenzangu, please ni pm
Thank you in advance.
naomba mnipige tafu kwa hili wana JF wenzangu, please ni pm
Thank you in advance.