Catryn Francy
New Member
- Jun 21, 2012
- 4
- 0
Natafuta chumba cha kupanga, maeneo ya SINZA, KIJITONYAMA na MWENGE, Uwezo wangu wa kifedha ni shilingi 50,000/= kisiwe uswazi na ikiwezekana MWENYE NYUMBA asiwe anaishi hapo.
Cat tunza hyo 50k yako njoo uishi kwangu buree.
Cat tunza hyo 50k yako njoo uishi kwangu buree.
Hapa utajichanganya tu,
humu tumejaa wasanii kibao,
tafuta dalali mitaa ya sinza wakutafutie chumba bibie.
Jaman mwenzio niko serious, nisaidie kama unafahamu!