Chumba cha kupanga tsh. 50,000/=

Catryn Francy

New Member
Jun 21, 2012
4
0
Natafuta chumba cha kupanga, maeneo ya SINZA, KIJITONYAMA na MWENGE, Uwezo wangu wa kifedha ni shilingi 50,000/= kisiwe uswazi na ikiwezekana MWENYE NYUMBA asiwe anaishi hapo.
 
Hapa utajichanganya tu,
humu tumejaa wasanii kibao,
tafuta dalali mitaa ya sinza wakutafutie chumba bibie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom