hivi ulipata chumba? au baada ya kuhamia tunduma huhitaji tena cha Mbeya.Wadau ninatafuta chumba cha kupanga hapa MBEYA mjini. kiwe na umeme, maji na kiwe jirani na usafiri wa daladala na au bodaboda. Kwa yeyote mwenye taarifa husika, tuwasiliane namba 0762959725
Karibu Tunduma, sehemu ya kufikia ipo mkuu!hivi ulipata chumba? au baada ya kuhamia tunduma huhitaji tena cha Mbeya.
Sent using Jamii Forums mobile app