Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
[1]Katika viumbe vyote ni binadamu na dolphin pekee ndio hufanya mapenzi kwa kujistarehesha,wengine hufanya kwa ajili ya uzazi.>>> [2]Ukimkuta Nyati anaoga atajitahidi kadri anavyoweza kukufukuzia,akukamate na akuue kwa sababu anaamini umemchungulia akiwa uchi anaoga. [3]Ukiwakuta nyoka wanajamiiana ni lazima wakufukuzie mpaka nyumbani kwako ili wakuume kwa sababu wanaamini uliwakuta wakiwa uchi wanajamiiana.>>>> [4]Konokono anaweza kutambaa kwenye ncha ya wembe mkali bila kuchanika. [5]Chura hawezi kumeza kitu bila kufumba macho. [6]Jeshi la german linaruhusu wanajeshi mashoga na linawapa uhuru wa kufanya mapenzi wakiwa kambini.