Chukua hizi!

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
[1]Katika viumbe vyote ni binadamu na dolphin pekee ndio hufanya mapenzi kwa kujistarehesha,wengine hufanya kwa ajili ya uzazi.>>> [2]Ukimkuta Nyati anaoga atajitahidi kadri anavyoweza kukufukuzia,akukamate na akuue kwa sababu anaamini umemchungulia akiwa uchi anaoga. [3]Ukiwakuta nyoka wanajamiiana ni lazima wakufukuzie mpaka nyumbani kwako ili wakuume kwa sababu wanaamini uliwakuta wakiwa uchi wanajamiiana.>>>> [4]Konokono anaweza kutambaa kwenye ncha ya wembe mkali bila kuchanika. [5]Chura hawezi kumeza kitu bila kufumba macho. [6]Jeshi la german linaruhusu wanajeshi mashoga na linawapa uhuru wa kufanya mapenzi wakiwa kambini.
 
[1]Katika viumbe vyote ni binadamu na dolphin pekee ndio hufanya mapenzi kwa kujistarehesha,wengine hufanya kwa ajili ya uzazi.>>> [2]Ukimkuta Nyati anaoga atajitahidi kadri anavyoweza kukufukuzia,akukamate na akuue kwa sababu anaamini umemchungulia akiwa uchi anaoga. [3]Ukiwakuta nyoka wanajamiiana ni lazima wakufukuzie mpaka nyumbani kwako ili wakuume kwa sababu wanaamini uliwakuta wakiwa uchi wanajamiiana.>>>> [4]Konokono anaweza kutambaa kwenye ncha ya wembe mkali bila kuchanika. [5]Chura hawezi kumeza kitu bila kufumba macho. [6]Jeshi la german linaruhusu wanajeshi mashoga na linawapa uhuru wa kufanya mapenzi wakiwa kambini.

Hapo kwenye red natamani niwakute maana nina siku nyingi sijawahi fanya zoezi la mbio.
 
Hapo kwenye red natamani niwakute maana nina siku nyingi sijawahi fanya zoezi la mbio.
Mkuu usiombe uwakute,balaa lake ni kama kumuona balali akiwa hai U.S.A halafu uje uropoke bongo!
 
Back
Top Bottom