cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
wanachimba viazi hao!watoto wa siku hizi banamikono yao wote kwenye dudu!..mwingine huyo sijui ndo anananihino..
Yani this is all u could see??!mikono yao wote kwenye dudu!..mwingine huyo sijui ndo anananihino..
Kikwete alipoingia madarakani hakusema kuwa maisha bora ni kwetu kufanyakazi bali alisema maisha bora kwa kila mtanzania inawezekana na akaahidi kuyaleta. Mkataba wa TRL ulicheleweshwa kwa mtaalam chenge kuupia kwa makini (akiwa waziri wa miundombinu) leo hii unavunjwa na kuelezwa kuwa hauna maslahi kwa taifa, air tanzania iliwekewa bilions za fedha lakini leo hii hiko chali ... Hayo ndo maisha bora ya kikwete. Unapiga hatua moja mbele unarudi sita nyuma... je, tutafika? Watoto wengi n.k ni sawa lakini siyo agenda rasmi!watatoka wakianzia wapi? Lazima wawe na msingi wa kuwawezesha kutoka-ukweli unabaki pale pale, maana ya maisha bora kwa kila mtanzania c kumuhudumia kila mtu-ni katika suala zima la sisi wote kufanya kazi kwa bidii. Kazi ni pamoja na malezi bora kwa mtoto kama mzazi. Hii imetokana na wazazi ether kuzaa watoto wengi na kushindwa kuwahudumia au ni watoto wanaotelekezwa na wazai wao baada ya kushidwa kutoa huduma. Hapa claumu serikali wala rahisi. Ukweli ni kwamba lazima tuwe na utamaduni wa kuzaa watoto ambao tuna uwezo wa kuwatunza. Tusipobadilika katika hilo-Afrika hatutaendelea.
Ushuri wangu kwa wana JF-Amini nawaambia laana unayoipata kwa kumtelekeza mtoto ni kubwa na huwezi kuwa na maisha ya furaha duniani. Ni bora kuzaa watoto ambao una uhakika utaweza kuwatunza kama mzazi bila ya kutegemea msaada wowote kutoka kwa watu wengine.