Ulimfanyia dharau ukamtajia Dada wa JF hapa, sasa naona huyo Dada wa JF amekuwa sumu kwako umuonapo unammwagia kashfa
Acha hizo, sio ustaarabu
Fanya tu urudiane nae maaana unaonekana unampenda sana
mkuu huyu dada wa jf aliyonifanyia ni siri yangu,yeye na invisible.sitamani hata kumuona.hata yeye anajua aliyoyafanya.hata ningekua nmemuona kwa kosa alilonifanyia ilikua nimpe taraka3 na masikio bila kutaka ushauri wa mtu.anantia kinyaa.we acha tu!.bora hata ya XG.mia
pole sana mkuu,hii inaonesha ulimpenda sana my x gelfrend wako,ndio ukubwa utampata my gelfrend mwengine. Nalog off
ni kwei lakini sijui ngoja nivute subira sema huyu husninyo ananiingilia sana mambo yangu binafsi.mnafiki sana huyu binti.mia
Pole ndugu, kumbe bado unamhitaji!!! Lakini kwa moyo au kwa ajili ya lundo la nguo chafu na menu? Ulimi bwana kakiungo kadogoooooooo matatizo lukuki. khaaaaa
kama kumbukumbu yako inavutwa na wimbo tu basi usijali
utakuja pata wimbo mwengine soon. na si ajabu wimbo huo
ukaitwa "mla mla leo mla jana kala nini?" na kuanzia hapo utasahau
habari za "chukua yote yako" kwani haikuwa yako nasiajabu sasa hivi iko
kwa mwengine lol
ungesikia mikwala yake wewe mwenyewe ungeshangaa.mia
Sasa si ufanye yawe siri hivyo hivyo tu? kama mmekoseana kwenye PM yamalizeni kiutu uzima huko huko, haina haja kuwapa wengine faida hasa kwa maneno ya kashfa.
You are better than that.
Ongea naye mpaka mwisho... Nalog offni kwei lakini sijui ngoja nivute subira sema huyu husninyo ananiingilia sana mambo yangu binafsi.mnafiki sana huyu binti.mia
Sasa hapo pamehusu na nini Mkuu....hebu get a grip of yourself
dah inawezekana kabisa mkuu.lakini ukimchunguza bata sana hutamla.hii ni sawa na vuta nikuvute.kama anavutwa sijui lakini mimi sijavuta yeyote badala yake.lakini ndo maisha mkuu.mia