figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,490
- 54,884
Yaani asikuambie mtu,mapenzi ni kitu kingine kabisa.iwapo tuliachana naye kwa maneno makali na kujiapiza hamna anayemuhitaji mwenzake lakini kila nikiskia huu wimbo wa "chukua yote yako" huwa namkumbuka X-GIRLFRIEND wangu.Mungu akubariki na kukuangazia mwanga wake popote pale ulipo.stasahau mazuri yako daima hasa sauti yako nyororo ya kubembeleza pale ulipokuwa unaniambia "chukua yote ni yako mpenzi wangu"no one like you.ntakukumbuka daima.Mia