rugumye JF-Expert Member Nov 1, 2010 561 178 Oct 31, 2012 #1 Wana jamii naona baada ya vikao vya vya vijana wa magamba huko DODOMA sasa wamevamia jamvi sijui kama mmeona tangu wiki iliyopita.
Wana jamii naona baada ya vikao vya vya vijana wa magamba huko DODOMA sasa wamevamia jamvi sijui kama mmeona tangu wiki iliyopita.
rugumye JF-Expert Member Nov 1, 2010 561 178 Oct 31, 2012 Thread starter #2 Wameambiwa wasilale wawe wanaingiza hoja kuitetea CCM.