cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
hii nayo mpya
You have nailed it!Mkemia mkuu wa serikali lazima awepo ku test vyakula vyote na vinywaji kabla wenye chuki kuvila au kivinywa.
Mkemia mkuu wa serikali lazima awepo ku test vyakula vyote na vinywaji kabla wenye chuki kuvila au kivinywa.
editha said... yani nimependa zat idea.uko creative sana.
March 29, 2010 7:37 AM
Anonymous said... mi ni mdau wa hii blog but sijawi kucommet, hii imeni-touch Jide inaelekea hawa watu wanakukera sana mpk ume-come up na hiyo idea, ni wazo zuri sana
Ester Ulaya said... Good idea, waje sasa na huko, maana nadhani watakueleza kila kitu maana blogin huwa havienei
March 29, 2010 7:53 AM
Anonymous said... Binti komando sasa nauona ukomandowako ni idea nzuri,ila hao Visokolokwinya sijui kama watakuja coz uso umeumbwa na haya na kama hawakuja wanakuogopa hawana lolote kama vipi wapotezee wasikumalizie muda watu tunasubiri maraha ya machozi band.uko juu manka
he he hee kuna watu wana ushabiki mkali vibaya.kweli kilashetani na mbuyu wake cheki hapa chini...