Chuki na unafiki....

Asante Lizzy Kwa kututakia Jumanne njema, na mimi nakutakia Jumma tano njema!
Nilisubiri mkalale wote ndio nije nijibu ili msinikatikizi katika 'reasoned argument' yangu. :)
Nimesoma maswali yako na nadhani jibu sio rahisi kama unavo fikiria. JS ni community with its dynamics. Na moja ya hizo dynamics ni POWER. Sababu namna za ku-interact ziko limited, tunakua pia limited katika namna yetu ya kutumia na kuonesha power. Huhwezi tumia powe unayo nje ya JF sababu it is not relevant here (how do we know?).
vitu vinavyo leta power katika community ya JF ni vitu tunavyo weza kuona: avatars, ID,Likes, Posts, reputation power, the ability to get people to post after you, to quote you, to talk about you etc. Kuna ambavyo tunaweza kubadilisha (avatar, started threads, started posts, likes given etc) na vingine hatuwezi (likes received, pages of threads started, visit on your home page etc)
How is that a power? sababu ni nyingi ila c
ha msingi ni kwamba people need to differenciate themselves. Hakuna member anae taka kua kama member mngine, kila mtu ni separate individual. na kila mtu anataka kua as good as possible. na vitu vinakufanya kua good ni hivyo vinavyo onekana. Ukisha weka hiyo kua 'good' na kua 'bad', tayari umeleta kua 'better' na kua 'worse'.
Kwangu mimi ku-interact na member (on post and PM) ni muhimu. Kwako wewe kuchangia thread kwa maneno ya busara ni muhimu. kwa mngine kua na avatar nzuri ni muhimu, or kupata likes etc. kwa wengi hapa ni mchanganyiko wa vitu vingi. na hivyo vitu ndio vinamfanya mtu kua better au worse "than...". mimi najicompare na mi mwenyewe. I am better than I was when I joined, au I am worse than I was in my last post etc. ila inaonekana kuna watu wanajicompare na wengine humu ndani ya hii community yetu ya JF: I have started less post than Lizzy, my avatar receives less complement that Afrodenzi, my personality is not as sexy as preta au my political knoweledge is nowhere compared to faiza foxy.
Kwa vile sisi ni binadamu tunakua na reaction tatu: indifference, kufurahia au kuchukia (this late hasa kwa vitu hatuwezi badilisha)
Sasa in the case ulio toa tunaweza kuangalia: what is AshaDii power? among other tunaweza kumention kua ameanzisha threads nyingi, na nyingi zilipendwa, anajua ku-keep attention ya members kwenye threads anazo changia, posts zake zina pendwa na wengi, and last but not least, she 'is seen to be' a key figure in MMU na Chit Chat sababu ya uwezo wake mkubwa wa kuchangia na kubadilisha mweliekeo wa majadiliano. so in that regard AshaDii holds some form of JF.
From there we have some hints on the mobiles of our 'suspect', kazi kwako kujenga "profile' na ikibidi jenga a 'sketch'...
Umesahau kimoja we mrusi....

AshaDii ni shem langu la ukweli
Na kuwa Shem wa ODM ni turufu na tiketi ya kwenda mbinguni
Sasa mijitu inamwonea wivu shem wangu........
Kwa taarifa yao atakwenda mbinguni mara tatu!
Nimemaliza.
 
Watu wanapenda kuamini na kupeleka katika maisha yao mambo ya humu mitandaoni.

Maisha hayapo kiivo!!
Ngoja nipande daladala hapa niende zangu Ferry kuwahi samaki wa gengeni kwangu.
 
Nadhani itakua wiki moja imepita sasa tangu niulize kwenye thread fulani kama inawezekana mtu akapata adui hapa JF kwasababu binafsi bado sijaona uwezekano wa kumchukia mtu ambae sijui yukoje in reality na wala hajanifanyia lolote baya hapa mtandaoni.

Naelewa kwamba huku mitaani hua inatokea mtu , hata ndugu yako au rafiki akawa anakuchukia bila sababu maalum.Yani unakuwa hujamfanyia lolote baya, tena inawezekana ukawa mtu wa kumsupport na kumsaidia sana.Chuki ya namna hii naamini mara nyingi hua inasababishwa na wivu,yani yule mwenye chuki anatamani alichonacho mwenzake kingekua chake (pesa,mpenzi mzuri, familia inayompenda, marafiki wanaomjali, kazi nzuri n.k). Na mara nyingi hali hii hua inapelekea hao wenye wivu kutafuta namna ya kumvurugia huyo mwingine hata kwa kusambaza maneno yasiyo na ukweli.Ila sasa naomba kuuliza, sehemu kama hapa JF, sehenu ambayo wengi hatufahamiani inakuaje mtu anakua na chuki tena kali na mwenzake? Tatizo ni nini? LIKE anazopokea? Thread anazoandika? Watu anaointeract nao jamvini? Muda anaospend online? Namna anayoandika? Mambo anayoonekana kujua? Kama jibu ni moja ya hayo hapo juu nini kinakusumbua wakati hatujuani hivyo na wewe unaweza ukatumia hata google kuandika kitu kizuri kikakubalika bila yeyote kujua hazikua juhudi zako mwenyewe?

Nimeona niandike hii mada baada ya ile incident ya Ashadii, taarifa zinazonihusu mwenyewe na wengine ambao hata hawafahamu kwamba wana maadui wasiowahitaji humu.

Wewe kama ni mmoja wa hawa watu wenye chuki na watu usiowafahamu embu chunguza tatizo lako lilipo. Na kama tatizo liko kwao (inawezekana kuna namna wamekuboa) wasiliana nao uwajulishe badala ya kuwachekea kinafiki huku roho yako ikilika taratibu kwa chuki na kujiabisha kwa kujipeleka kwa marafiki zao (watu wanaofahamu kiukweli) na kujifanya wewe unawajua wakati huwajui.

Wote tumekuja hapa kwa mapenzi binafsi, sio kufurahisha watu wengine bali kujifurahisha wenyewe.Ukiona unakosa hiyo furaha uliyofuata pumzika badala ya kuwatolea hasira watu wasiohusika na hasira yako. Usimchukie mtu usiye mfahamu, kwa sababu zisizo na kichwa wala vidole maana huwezi jua mtajakutana katika mazingira gani. Hii ni sehemu ya kupunguza stress na sio kuongeza, usijinyanyase kwa kutoitumia vizuri.

Jumanne njema.


Asante.... Umenena haswaaa..:yo::yo::yo:
 
Watu wanapenda kuamini na kupeleka katika maisha yao mambo ya humu mitandaoni.

Maisha hayapo kiivo!!
Ngoja nipande daladala hapa niende zangu Ferry kuwahi samaki wa gengeni kwangu.
Niazime binduki yako nimpopoe mtu macho......... kuna mtu anajifanya ananijua wakati mie simjui.
Afu upitie Zero pub pale mwambie Eliza akupe bia mbili baridi na kokoto...... bili atalipa ODM.
 
Nizime binduki yako nimpopoe mtu macho......... kuna mtu anajifanya ananijua wakati mie simjui.
Afu upitie Zero pub pale mwambie Eliza akupe bia mbili baridi na kokoto...... bili atalipa ODM.
Sinywi biya, nakunywa valuu za pakiti.
Hii makitu ni kwa ajili ya kuvunja miguu ya wanawake wa JF wanaomtongoza mme wangu.

Kuna mmoja kazi yake ku-flirt na mme wangu kwenye PM, sijui sijui kwa nini kaolewa kama kutwa kuchwa yupo busy mtandaoni anacheka cheka na mume wangu!!
:boxing:
 
Kama kuna watu wanachukiana iko kazi sikujui ,hunijui why nikuchukie .. baada ya kusoma post yakondo najaribu kuwaza hii issue ..
 
Sinywi biya, nakunywa valuu za pakiti.
Hii makitu ni kwa ajili ya kuvunja miguu ya wanawake wa JF wanaomtongoza mme wangu.

Kuna mmoja kazi yake ku-flirt na mme wangu kwenye PM, sijui sijui kwa nini kaolewa kama kutwa kuchwa yupo busy mtandaoni anacheka cheka na mume wangu!!
:boxing:
Khee! Usinambie una pasiwedi ya mmeo....... Angalia isije ikawa mmeo ndo anachombeza.
Aisee valuu ya pakiti na hii mvua........ ngoja nichukue sick sheet! khaa!
Nipe hiyo binduki bana..........kuna jamaa ananletea wivu kwa baamedi pale Tongori. Mi taka peleka yeye kuzimu kulaaleki. Yeye si wake na mimi si wangu, chuki ya nini kati yangu mimi na yeye?
 
Khee! Usinambie una pasiwedi ya mmeo....... Angalia isije ikawa mmeo ndo anachombeza.
Aisee valuu ya pakiti na hii mvua........ ngoja nichukue sick sheet! khaa!
Nipe hiyo binduki bana..........kuna jamaa ananletea wivu kwa baamedi pale Tongori. Mi taka peleka yeye kuzimu kulaaleki. Yeye si wake na mimi si wangu, chuki ya nini kati yangu mimi na yeye?

washangaa nini sasa!!
 
Chuki ndani ya JF!! Sawa kila mtu na mtazamo wake, sioni sababu ya kumchukia mtu, kama UNABOREKA na mtu si umpotezee tu, kwani lazima umjibu? au lazima kuzoeana? Unawezaje kumchukia mtu usiyefahamiana naye? Kwasababu tu ya kupishana mtazamo? Acheni hizo Jamani.
 
binadamu tunatofautiana, unaweza kumchukia mtu hata tu kwa kuliona au kulisikia jina lake. haya mambo yapo usifadhaike sana
 
Kweli mimi hapa sijaelewa kitu naona mauza uza tu. Sikujua chini ya kapeti kuna vitu vya aina hii.

Am i too old to notice this? Naona vyote vilifanyika darasa la 3.
 
Suck it up maana Nakujua, Unanijua , siachani na wewe.

Inashangaza kwakweli. Watu wa huku mtaani naweza jaribu kuwaelewa ila huku mtandaoni ambapo kila mtu anaingia kutokana na uwezo wa bandwith yake,sielewi kabisa.

Lizzy mamaa potezea usiyabebe utabeba managapi...hata sielewi kinachoendela japo sihitaji ila yasikuumize kichwa bana songesha maisha ..umesahau kusamehe mammy!!
 
By the way mm nawapenda wote napenda vile mnavyoelezea thread zenu hata mtu awe kilaza aje lazima aelewe..msichokozane napendaga mawazo yenu kwa ujumla nawaombea amani na upendo wa Bwana uwatembelee(cwajui /hamnijui pia)
 
nashkuru kwa maelezo yako
ajabu watu na roho zao na akili zao
i hope ASHADII hajakuwa discouraged kwa ujinga wa watu au mtu wa ovyo ovyo


I do break Down... But I NEVER Break down that easily Boss,
Nguvu ya ziada yahitajika kwa Mlengwa to Break me down hata
kama ni briefly.... Hivo I am good, Just Hectically busy....

You know my girl, pale pale tu thread yake alisema "bring it on Lipualipua, I am here to stay!"


hahahaha.... Me Love this post Alter....
 
Umesahau kimoja we mrusi....

AshaDii ni shem langu la ukweli
Na kuwa Shem wa ODM ni turufu na tiketi ya kwenda mbinguni
Sasa mijitu inamwonea wivu shem wangu........
Kwa taarifa yao atakwenda mbinguni mara tatu!
Nimemaliza.


Copied and Filed! Source: ODM

Way to go Darling Shem... ADI is proud that ODM is there for her....
 
Nadhani itakua wiki moja imepita sasa tangu niulize kwenye thread fulani kama inawezekana mtu akapata adui hapa JF kwasababu binafsi bado sijaona uwezekano wa kumchukia mtu ambae sijui yukoje in reality na wala hajanifanyia lolote baya hapa mtandaoni.

Naelewa kwamba huku mitaani hua inatokea mtu , hata ndugu yako au rafiki akawa anakuchukia bila sababu maalum.Yani unakuwa hujamfanyia lolote baya, tena inawezekana ukawa mtu wa kumsupport na kumsaidia sana.Chuki ya namna hii naamini mara nyingi hua inasababishwa na wivu,yani yule mwenye chuki anatamani alichonacho mwenzake kingekua chake (pesa,mpenzi mzuri, familia inayompenda, marafiki wanaomjali, kazi nzuri n.k). Na mara nyingi hali hii hua inapelekea hao wenye wivu kutafuta namna ya kumvurugia huyo mwingine hata kwa kusambaza maneno yasiyo na ukweli.Ila sasa naomba kuuliza, sehemu kama hapa JF, sehenu ambayo wengi hatufahamiani inakuaje mtu anakua na chuki tena kali na mwenzake? Tatizo ni nini? LIKE anazopokea? Thread anazoandika? Watu anaointeract nao jamvini? Muda anaospend online? Namna anayoandika? Mambo anayoonekana kujua? Kama jibu ni moja ya hayo hapo juu nini kinakusumbua wakati hatujuani hivyo na wewe unaweza ukatumia hata google kuandika kitu kizuri kikakubalika bila yeyote kujua hazikua juhudi zako mwenyewe?

Nimeona niandike hii mada baada ya ile incident ya Ashadii, taarifa zinazonihusu mwenyewe na wengine ambao hata hawafahamu kwamba wana maadui wasiowahitaji humu.

Wewe kama ni mmoja wa hawa watu wenye chuki na watu usiowafahamu embu chunguza tatizo lako lilipo. Na kama tatizo liko kwao (inawezekana kuna namna wamekuboa) wasiliana nao uwajulishe badala ya kuwachekea kinafiki huku roho yako ikilika taratibu kwa chuki na kujiabisha kwa kujipeleka kwa marafiki zao (watu wanaofahamu kiukweli) na kujifanya wewe unawajua wakati huwajui.

Wote tumekuja hapa kwa mapenzi binafsi, sio kufurahisha watu wengine bali kujifurahisha wenyewe.Ukiona unakosa hiyo furaha uliyofuata pumzika badala ya kuwatolea hasira watu wasiohusika na hasira yako. Usimchukie mtu usiye mfahamu, kwa sababu zisizo na kichwa wala vidole maana huwezi jua mtajakutana katika mazingira gani. Hii ni sehemu ya kupunguza stress na sio kuongeza, usijinyanyase kwa kutoitumia vizuri.

Jumanne njema.



Hii thread umepost... Ni ya Msingi saaana (at least to me and it seems to you too) BUT nisha observe kupata jibu ni kazi saana. Thou nimependa saana Maelezo ya Roulette bado am sceptic as in OK hating... BUT to that Extent? Really? Dah! Sina la kuongezea kwa kweli....
 
Pole yamekukuta aee.
we unachukiwa hapa sababu ya ubishi wako..
utakoma trip hii.. Jifunze kuzoea bora mtu anichukie kuliko upendo wa ki una nafiki
 
Back
Top Bottom