Chuki, Aibu, Laana; Dunia inafikia mwisho

dunia imeisha kaka,tumrudie muumba,maana nshawahi ona baba anamlilia wivu binti mpaka akashindwa muozesha na akagoma kuzungumza na mkwe mpaka mwanaume akaamua kumuacha mwanae,kwa mara ya kwanza kuingia kwenye nyumba ya mwanae ni kuja chukua mazagazaga ya mwanae akiwa na furaha ya ajabu.
nao hao walikuwa warangi?
 
mie siamini kama ni kweli imetokea...
inafundisha na kuonya lakini...!
 
Habari za asubuhi wana jamvi,
baada ya kuvumilia kwa muda mrefu nimeona niweke jambo hili mbele yenu, kwa baadhi itakua funzo lakini pia kwa wengine itakua wamepata pa kuanzia. Naliweka hili kwa maslahi ya jamii na halina ushabiki wowote ila ni habari ya kweli iliyotokea juzi jumamosi Mbezi- Dar es salaam.

Ilikua majira ya saa tatu na kidogo hivi, nikiwa na rafiki zangu kwenye bar moja nzuri yenye pia Guest ( Hotel). Nikiwa namalizia maji yangu iliniondoke, alikuja Mama Mmoja ambaye kama dakika 45 zilizopita alikuwa amekaa na watu wengine watatu ( Mzee mmoja wa makamo, Binti wa about early twenties, na kijana naye mdogo lakini mkubwa kwa yule binti pamoja na huyu mama sasa) mwanzoni tuliwaona kama ilikua familia flani hivi, baada ya muda ndipo yule Mama aliondoka na kijana yule, akimuacha Yule Mzee na binti palepale, cha kushangaza ni baada ya dk 45 hivi huyu Mama alirudi huku akuulizia mmoja wa wafanyakazi wa pale ni wapi walipo Baba na yule binti?

Bila hiyana, akamjibu walichukua chumba, wapo chumba kile...akionyeshea kidole upande ulipo vyumba, mara yule Mama akataharuki, ndo nikapata mvuto wa kufuatilia, akiwa na yule mhudumu, walifika hadi kwenye chumba na kugonga, mara mlango ulipofunguliwa kumbe ni Baba amelala na binti yake wanakula tunda.

Sasa, Mama akazidi ku-panic na kuanza kubwatuka, kuwa muda akiondoka pale alipelekwa nyumbani na kijana wake wa kumzaa baada ya baba kudai kua, mama akapumzike amechoka, kufika nuymbani katika hali ya ulevi aliyokuwa nayo mama, alijilaza na ndipo kijana wake huyu wa kumzaa alitumia fursa hiyo kumwingilia kimwili mama yake, Mama huyu aliendelea kulalama kuwa alitoa kila aina ya ufundi akijua yuko na baba kumbe na mwanae, baada ya kupata fahamu katikati ya mechi ndo alimfurumusha yule kijana mama akarudi kwenda kumsemea kwa baba yake, just to find baba naye anamfaidi binti yake.

Katikati ya vilio vya mama huyu ndipo kijana alipofika pale, bila kuulizwa, bila wasiwasi akasema Mama nimefanya hivyo kwa sababu Baba amekua akifanya mchezo mchafu na dadaangu siku nyingi. Baba alitaka alete vurugu lakini mtu mmoja, aidha ni Meneja au ndio mwenye hotel ile aliwaamuru wateja wengine waondoke yaano warudi kwenye nafasi zao na walinzi waliwaondoa pale.

Jamani, ndugu zangu, naombeni sana, tuwaheshimu wazazi lakini na wazazi nao wawaheshimu watoto wao, sikutaka kuiweka hadharani but maybe It will save some lives and save the children of the world.

Nawasilisha
Hii ni story ya kutungwa. Inaeleza mazingira mawili. Moja la nyumbani ambapo mtoa mada hawezi kuwa ameliona maana anasimulia kama alikuwepo lakini yeye alikuwa bar. Pia anaunganisha mbeleni na kuonyesha ile mikikimiki imetokea hotelini. Hebu waJF someni tena na tena ndio mtakapotambua utunzi wa huyu bwana.
 
Hii ni story ya kutungwa. Inaeleza mazingira mawili. Moja la nyumbani ambapo mtoa mada hawezi kuwa ameliona maana anasimulia kama alikuwepo lakini yeye alikuwa bar. Pia anaunganisha mbeleni na kuonyesha ile mikikimiki imetokea hotelini. Hebu waJF someni tena na tena ndio mtakapotambua utunzi wa huyu bwana.
Hahaaaa mpwa, hua sina muda wa kukaa na kutunga stori, kaumri kangu na majukumu yangu hayaniruhusu, nimeelezea kuwa mama baada ya kuudhika baada ya kuona kitendo kile ndipo akaanza kuelezea yaliyokuwa yametokea, aaha, nimefurahi umeangalia kwa jicho la ku-criticise ukasahau realities, by the way, usijiaminishe kuwa hayawezi kua, yapo na yanatokea, ndio maana yanaitwa maajabu ya MUNGU hasa siku Mungu akitaka kukuumbua.

Haya mpwa, mie naendelea na job hapa ila habari ndio hiyo
 
sikuweza kujua lakini inaonekana ni familia yenye uwezo flani ivi





Kama ni watu wenye hela hela fulani basi wana Uzungu uzungu fulani hapo siwalaumu. unajua watu walio ishi huko kwa wenzetu maadili kwao sio issue. Niliwahi shuhudi Mtu anatembea na Mama Mkwe wake kwa raha zake kabisa. ( Lakini hao ni wazungu! kwetu huku ni noma)
 
Bado najiuliza alisimamishaje ndude..?..sababu lazima utamani..kwa hiyo alimtamani mamaye..? Au hakuwa mamake wa kumzaa.?
Haijanikaa akilini...
 
Abomination! Ee God forbid. Sorry kama si wambulu wenye lango la pepo wa ngono kwa ndugu sijui. Mungu epushia mbali laana hiyo ya kizazi.
 
safi sana!!!! baba kamwaga ugali mtoto w kiume kachukua mboga kanywa yote ........
 
Abomination! Ee God forbid. Sorry kama si wambulu wenye lango la pepo wa ngono kwa ndugu sijui. Mungu epushia mbali laana hiyo ya kizazi.

ndugu ningependa unitake radhi japo tamthilia yenyewe hainiingii akilini....lakini kwa nini useme wambulu......ina maana sisi ndio tunaopenda hako kamchezo (japo ni kazuri sikatai) kuliko makabila yote....puliiiz
 
Jamani ni kweli kuna baadhi ya wambulu ni wahuni sana ila siyo wote kuna wenye heshima zao tena wa maana na zaidi sana nimewahi kukaa maeneo ya wambulu hawana tabia ya kutembea na watoto wao au wakwe.

Ila kuna watu ambao mnawanyima haki zao ambao nimewahi kukaa nao pia na nimesikia kashfa zao za kuwasha masikio wanatembea kaka na dada na mama na mtoto wake baba na binti mpaka baba na mke wa mtoto wake na mama na mume wa binti yake hasa kwa baadhi ya wamarangu na warombo wache . Wanakera na ikitokea hivyo huwa hawaoni aibu wanakausha utadhani ni kitu cha kawaida na kama hamuamini wachunguzeni watu wa kwenye hilo tukio mtarudisha majibu ndani
 
Inasikitisha sana lakini kwa upande mwingine ndo hivyo walikua wanakula faida( Watoto) huku mitaji ikitunzwa( Wazazi) (JOKE). Hii inaonyesha kuwa mie sina dhambi kama hao uliowaongela...Mungu kaandika dhambi zao kwenye Silver plates hata siku wakitubu watakuwa wanazing'arisha na zitakua zinaonekana hata from a long distance......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom