Chuchu zimeingia ndani.

Engager

JF-Expert Member
Jan 12, 2011
1,273
2,648
Habari ndugu wana jf. Rafik yangu wa karibu hivi majuz alikuja kuniomba ushauri. Alinieleza kuwa chuchu za matiti ya mpenz wake zmeingia ndan kama kitovu (kwa vitovu vya ndan) na kuacha kiduara cheusi kizungukacho chuchu wakt kilima hicho (kichuchu) kikiwa hakpo (ktk kla titi) . Alicho niuliza ni je hali hyo inasababishwa na nn? Je kuna mechanism yoyote ya kuzfanya chuchu ztokee kwa nje maana hali hyo inaweza kumsumbua mtoto wakat wa kunyonya pind atapo jifungua. Kiukweli nilishndwa kumshauri coz its non of my profession, zaid nilimwambia nipe mda. Hebu naomben tumshaur ndugu.
 
Habari ndugu wana jf. Rafik yangu wa karibu hivi majuz alikuja kuniomba ushauri. Alinieleza kuwa chuchu za matiti ya mpenz wake zmeingia ndan kama kitovu (kwa vitovu vya ndan) na kuacha kiduara cheusi kizungukacho chuchu wakt kilima hicho (kichuchu) kikiwa hakpo (ktk kla titi) . Alicho niuliza ni je hali hyo inasababishwa na nn? Je kuna mechanism yoyote ya kuzfanya chuchu ztokee kwa nje maana hali hyo inaweza kumsumbua mtoto wakat wa kunyonya pind atapo jifungua. Kiukweli nilishndwa kumshauri coz its non of my profession, zaid nilimwambia nipe mda. Hebu naomben tumshaur ndugu.

sometimes it is an early sign of breast cancer

Tell him to take her to hospital for more ivestigation
 
niliwahi kusikia ni dalili mojawapo ya cancer hio mwambie aende hospitali kwa uchunguzi zaidi...pole sana
 
Mi nilishagawahi kupata demu wa hivyo aisee. Ila sema yeye ni chuchu ya moja ya ziwa lake. Sasa mzee mzima nikamtoa sidiria ili nianze kuzinyonya bana. Nikaanzia lile lenye chuchu iliyoingia ndani. Akanizaba kibao akaniambia hebu niache kunyonya hapo kwani hakuna chuchu. Akanipa lile lenye chuchu. Daaah nilijiona mjinga kweli.
 
  • Thanks
Reactions: YE
inaweza kuwa dalili ya kansa kama chuchu ilikuwepo mwanzo kisha ikazama/potea. bado mpya huyo,mpe hongera. muambie anyonye kwa bidii,ila kama kuna discharge aende kwa dr. atakapojifungua hizo chuchu zitatoka zenyewe
 
Habari ndugu wana jf. Rafik yangu wa karibu hivi majuz alikuja kuniomba ushauri. Alinieleza kuwa chuchu za matiti ya mpenz wake zmeingia ndan kama kitovu (kwa vitovu vya ndan) na kuacha kiduara cheusi kizungukacho chuchu wakt kilima hicho (kichuchu) kikiwa hakpo (ktk kla titi) . Alicho niuliza ni je hali hyo inasababishwa na nn? Je kuna mechanism yoyote ya kuzfanya chuchu ztokee kwa nje maana hali hyo inaweza kumsumbua mtoto wakat wa kunyonya pind atapo jifungua. Kiukweli nilishndwa kumshauri coz its non of my profession, zaid nilimwambia nipe mda. Hebu naomben tumshaur ndugu.


Hizo chuchu zipo hivyo tangu amevunja ungo (yaani matiti yake yalipoanza kukua) au ni mabadiliko ambayo yametokea hivi karibuni? Ni chuchu zote mbili au moja? Zimekuwa hivyo kwa wakati mmoja au moja baada ya nyingine? Akiyaminya yanatoa damu au maji maji hivi ambayo hayafanani na maziwa?

Kama majibu ya maswali yangu hapo juu ni kuwa mabadiliko yametokea hivi karibuni, moja baada ya jingine, na kuna majiji au damu akiminya...mwambie akimbie mbio za farasi kwenda hospitali akachunguzwe uwezekano wa saratani ya matiti!
 
mi nilishagawahi kupata demu wa hivyo aisee. Ila sema yeye ni chuchu ya moja ya ziwa lake. Sasa mzee mzima nikamtoa sidiria ili nianze kuzinyonya bana. Nikaanzia lile lenye chuchu iliyoingia ndani. Akanizaba kibao akaniambia hebu niache kunyonya hapo kwani hakuna chuchu. Akanipa lile lenye chuchu. Daaah nilijiona mjinga kweli.

teh teh teh teh...nyani ngabu bana unachekesha sana
 
i think si dalili ya kansa balli ni dalili ya kuwa prone kupata kansa, i know a lady alikua hivyo since day one anaota chuchu, sasa ana watoto na sijui kama ziliweza kutoka nje badae
 
Mi nilishagawahi kupata demu wa hivyo aisee. Ila sema yeye ni chuchu ya moja ya ziwa lake. Sasa mzee mzima nikamtoa sidiria ili nianze kuzinyonya bana. Nikaanzia lile lenye chuchu iliyoingia ndani. Akanizaba kibao akaniambia hebu niache kunyonya hapo kwani hakuna chuchu. Akanipa lile lenye chuchu. Daaah nilijiona mjinga kweli.

Hv huwa mnanyonya ili nn,au kuna maziwa hapo?
 
Back
Top Bottom