Ronn M
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 1,279
- 683
hongerani sana.......nitawaletea pampaz, nepi,poda na beseni
Kuna kipindi flani zilikuwepo powder zimeandikwa 444! Cjui bado zipo? Mrushi kakopo kale kama vipi
hongerani sana.......nitawaletea pampaz, nepi,poda na beseni
sio dalili ya mdudu kweli? yaani relation ya miezi miwili tu ushavuka hadi kwene chuchu? kesho atasema anaumwa sijui nini huko, keshokutwa utamkuta na vidonge, tuweni makini
Mlete kwangu
sio dalili ya mdudu kweli? yaani relation ya miezi miwili tu ushavuka hadi kwene chuchu? kesho atasema anaumwa sijui nini huko, keshokutwa utamkuta na vidonge, tuweni makini
Saint Ivuga Mkuu so wewe allege yako ni wake za watu wenye Dalili au wenye Mimba, Mkuu utakuja kulea watoto wa wanamume wenzioMlete kwangu
Akapime saratani ya matiti hiyo ni moja ya dalili.
Mpumzishe kidogo huyo shem ndugu yangu unajua kama una tabia ya kuzinyonya sana inaweza kuwa moja ya sababu,ukichukulia kwamba mna miezi miwili tu yaani bado mpyampya,weka pause angalau la siku tano sio mbaya.Wakuu, ni about wiki ya pili now Shemeji/wifi Yenu Chuchu zake zinamuuma sana, yan nikzigusa tu anataka kulia kwa Maumivu, hii ni strange Behaviour since nimezna kuishi nae for more than 2 Months now.
Ushauri please kabla sijampeleka hospital.
Ni Modified SMS nimeipokea hivi Punde kutoka kwa Mshikaj wangu Beda