Chuchu zake Zinauma Sanaaaaaaaaaa

sio dalili ya mdudu kweli? yaani relation ya miezi miwili tu ushavuka hadi kwene chuchu? kesho atasema anaumwa sijui nini huko, keshokutwa utamkuta na vidonge, tuweni makini

Muu Elli , jamaa ni wife wa Msela, wana miezi miwili sasa, Dah, kama Dalili hizi nazo zina indicate Mdudu basi Turvada itapata Market sana
 
Last edited by a moderator:
sio dalili ya mdudu kweli? yaani relation ya miezi miwili tu ushavuka hadi kwene chuchu? kesho atasema anaumwa sijui nini huko, keshokutwa utamkuta na vidonge, tuweni makini

Duh, usijewapa watu presha hapa!
 
Bramo sasa hapo ndio umeweka hii maneno sawa
Muu Elli , jamaa ni wife wa Msela, wana miezi miwili sasa, Dah, kama Dalili hizi nazo zina indicate Mdudu basi Turvada itapata Market sana
 
Last edited by a moderator:
Wakuu, ni about wiki ya pili now Shemeji/wifi Yenu Chuchu zake zinamuuma sana, yan nikzigusa tu anataka kulia kwa Maumivu, hii ni strange Behaviour since nimezna kuishi nae for more than 2 Months now.
Ushauri please kabla sijampeleka hospital.

Ni Modified SMS nimeipokea hivi Punde kutoka kwa Mshikaj wangu Beda
Mpumzishe kidogo huyo shem ndugu yangu unajua kama una tabia ya kuzinyonya sana inaweza kuwa moja ya sababu,ukichukulia kwamba mna miezi miwili tu yaani bado mpyampya,weka pause angalau la siku tano sio mbaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom