Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 576
Ni nani anayemjua vyema huyu ndugu?
Nasikia ni Mhubiri,
je kanisa lake liko wapi?
Sio mhubiri ila ni mwalimu na wala sio mchungaji hana Kanisa lake.
Hutakujamsikia anahubiri mambo ya madhehebu, anafundisha uchumi katika Kanisa na kufanikiwa katika maombi yako. Ni mchumi kwa taaluma yakle na anaishi Arusha, anazungukia miji mingi tu hapa nchini kama uko DSM vizia akija anapendelea kufanyia mafundisho yake Kinondoni jirani na Open University, viwanja vya Hananasifu?
Leka