Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,782
Ni nani anayemjua vyema huyu ndugu?
Nasikia ni Mhubiri,
je kanisa lake liko wapi?
Nasikia ni Mhubiri,
je kanisa lake liko wapi?
Asante sana kiongozi.
Kuna ndugu yangu anahitaji maombi, je anapatikana wapi?
Asante sana kiongozi.
Kuna ndugu yangu anahitaji maombi, je anapatikana wapi?
Ni nani anayemjua vyema huyu ndugu?
Nasikia ni Mhubiri,
je kanisa lake liko wapi?
Arusha.
Ni maombi au kitu kingine? Mpeleke mgonjwa wako kwa kakobe au mzee wa hammer pale ubungo chaibora-nyumba ya ufufuo na uzima
Asante mkuu unaweza kuwasiliana nao kwa kupitia ...
Christopher & Diana Mwakasege
P. O. Box 2166,
Arusha, TANZANIA.
Phone: +255-27-2504289
Fax: +255-27-2504289
Email: tasoet@nexusdigital.co.tz.
Natumaini nitakuwa nimekusaidia wewe na ndugu yako anaehitaji maombi.
Da,
Bora nimpeleke kwa Joti wa ze comedy kuliko kwa hao jamaa wajasiriamali
naomba web yake, kama unaijua, kuna wakati nilikua naitumia lakini ikafika mahali ikagoma kufungua....
naomba web yake, kama unaijua, kuna wakati nilikua naitumia lakini ikafika mahali ikagoma kufungua....
naomba web yake, kama unaijua, kuna wakati nilikua naitumia lakini ikafika mahali ikagoma kufungua....
Ni mwalimu mzuri sana. Kama alivyosema member hapo huu huwa hafungmani na mkanisa haya yanayojiita ya kiroho na wala halazimishi wanaopata huduma yake kulipa mapesa kibao. Huyu si mfanya biashara kama walivyo wengine, anafundisha habari zote hata za mafungu ya kumi na halazimishi muumini kumpelekea.
Anafundisha pia kwa kutumia taaluma yake ya uchumi, ni kwa namna gani utaweza kufanikiwa, yaani kuwa mjasiriamali na mfanyakazi productive.
Anafundisha kweli hasa masuala ya ndoa. Halazimishi ndoa zilizoshindikana bali anafundisha ukweli kuhusu ndoa hizo na kama kweli zilipata kibali cha Mungu kufungwa au wana ndoa walilazimishana kuona kutokana na cirumstances na mwsihowe are incompartible??? Keep it up mwalimu Christopher and Diana Mwakasege.
Heshima kwako Maane,
Ni kweli kabisa uliyosema jamaa ni kichwa hasa ukibahatika kuhudhuria semina zinazohusu ndoa,mara nyingi hizi semina ni kwa wanandoa tu utakubali Mwakasege kajaliwa kipaji na mwenyezi mungu.Antoa somo kiasi kwamba semina ikimalizika mnajiona kama mmefunga ndoa jana.
Heshima yako Babra,
Web htt.www.mwakasege.org