Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani alikwenda dukani na kuchagua hiki kitambaa chenye picha za Mafuvu? Sintamshangaa nitakapokuja kumuona amevaa gauni jingine jukwaani yenye picha za majani ya Bangi! Siku hizi dini ni Business!
huwa najiuliza sana labda leo mnisaidie maana hapa pia nimeona why huwa anavua pete zake za ndoa? na ni makubwa kweli akiwa ameyavaa au uzito unazidi? au joto? au ndoa yake inashida? ninachoju huwa anapenda kujiremba sana hasa ukiwa maarufu inabidi uwe na mtu wa kukushauri mavazi na jinsi ya kutoka mbele za watu hapo kweli amekosea bila hata ubishi mmh mkanda kama wa lady gaga vile...Yaani alikwenda dukani na kuchagua hiki kitambaa chenye picha za Mafuvu? Sintamshangaa nitakapokuja kumuona amevaa gauni jingine jukwaani yenye picha za majani ya Bangi! Siku hizi dini ni Business!
Mhmmm!!! Kwa kweli no comment.
Mwana siku moja tutajadili jicho lako hapo kwenye avatar
'NITAJITAHIDI kuwa mwaminifu,nakupendaaaaa!
mwacheni dada wa watu,hayo si marembo ya kwenye nguo tu.
mtafanya watu kila wakitaka kuvaa waangalie nguo ina marembo gani.
kwani nyie mnafikiri hayo mafuvu yanamaanisha nini?
kwanza kapendeza ile mbaya.
Christina usiwajali hawa,muimbie Mungu wako,yeye ndiye anayejua dhamira yako.
I never give a shit about freemason na uchawi at large, i guess alivaa tu bila kujielewa.
Acha Kumpoteza Christina,ni muhimu awe mwangalifu kuhusu njia zake kwa sababu yeye ni mtu mwenye Heshima katika Jamii na zaidi sana ana muimbia Mungu,lazima awe ana mawaa unless watu wawe wanashuhudia uongo!!
Ni muhimu kujali wengine wanasema nini na hasa kama wanasema Ukweli,kama hakuvaa kwa hila basi sasa amejua asirudie tena!!
Kama maoni ya watu wengine sio muhimu kwa nn Yesu aliuliza hivi "Watu wananisema Mm kuwa nani????.........Na nyinyi mnanisema kuwa nani?
In essence,Jesus needed feedback,he needed to know his reputation,let alone us!!
I revere Christina Shusho thats Y i recommend that she stays vigillant!!
Tags na freemanson.
I never give a shit about freemason na uchawi at large, i guess alivaa tu bila kujielewa.