cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
Yaani huyu dada kwa kweli nampenda sana.
Nikisema huyu malkia amekamilika kila idara namaanisha kwamba Shusho ni mzuri wa sura na umbo.
Hakuna mwimbaji wa kike anayevaa mavazi ya bei ya gharama kama Shusho,pia hakuna muimbaji wa kike anayebadilisha mawigi ya aina mbalimbali kwenye video zake kama huyu,malkia huyu anaongoza kwa kujipamba kwa bangili na hereni kubwa kubwa na kucha ndefu anazozijulia kuzipaka rangi za kuvutia kuliko waimbaji wa kike wa injili Tanzania.
Dada amebarikiwa sauti nzuri na mbali ya yote nabarikiwa sana kwa nyimbo zake za taratibu zilizojaa upako maana sio kila nyimbo ya injili unayoisikiliza imejaa upako kama za dada Christine.
Mungu tunahitaji watumishi wengi zaidi kama hawa waikomboe Tanzania kwa huduma zao.
Mungu zidi kumuinua Christine shusho ktk kutenda kazi yako.
Nikisema huyu malkia amekamilika kila idara namaanisha kwamba Shusho ni mzuri wa sura na umbo.
Hakuna mwimbaji wa kike anayevaa mavazi ya bei ya gharama kama Shusho,pia hakuna muimbaji wa kike anayebadilisha mawigi ya aina mbalimbali kwenye video zake kama huyu,malkia huyu anaongoza kwa kujipamba kwa bangili na hereni kubwa kubwa na kucha ndefu anazozijulia kuzipaka rangi za kuvutia kuliko waimbaji wa kike wa injili Tanzania.
Dada amebarikiwa sauti nzuri na mbali ya yote nabarikiwa sana kwa nyimbo zake za taratibu zilizojaa upako maana sio kila nyimbo ya injili unayoisikiliza imejaa upako kama za dada Christine.
Mungu tunahitaji watumishi wengi zaidi kama hawa waikomboe Tanzania kwa huduma zao.
Mungu zidi kumuinua Christine shusho ktk kutenda kazi yako.
Last edited by a moderator: